MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
utakijua kwenye uchaguzi wa meya wa jiji la dar. we endelea kujifanya hayawanipKWANI BADO KUNA CHAMA KINAITWA CHADEMA SIKU HIZIII? MBONA SIKISIKIII!!!!! JAMANIII KIPO KWELI???
utakijua kwenye uchaguzi wa meya wa jiji la dar. we endelea kujifanya hayawanipKWANI BADO KUNA CHAMA KINAITWA CHADEMA SIKU HIZIII? MBONA SIKISIKIII!!!!! JAMANIII KIPO KWELI???
Sasa Hasira ya nini?naokuona unavyopoteza muda wakoMKUU NAKUMBUKA HISTORIA, KUWA KULIKUWA NA HICHO CHAMA, NIJUZE BASII KAMA UNA TAARIFA, USIWE NA HASIRA!!!
CHADEMA ipo sana ila mambo yakiwa magumu huwa inavaa ngozi ya UKAWA kujikinga!KWANI BADO KUNA CHAMA KINAITWA CHADEMA SIKU HIZIII? MBONA SIKISIKIII!!!!! JAMANIII KIPO KWELI???
HAHAHahaaaaaaaaaa kumbe ndio maji kupwa na kujaa! nimekupata MKUU!CHADEMA ipo sana ila mambo yakiwa magumu huwa inavaa ngozi ya UKAWA kujikinga!
Mambo yakiwa mazuri huwa inaibuka na kujivua ngozi ya UKAWA.
Siasa ni sayansi!
mtatiana viddole kwa sana mwaka huu[emoji123]HAHAHahaaaaaaaaaa kumbe ndio maji kupwa na kujaa! nimekupata MKUU!
Kwa hiyo kwa sasa CHADEMA wameamua kufanya kama afanyavyo ndugai na genge lake!Kwani mkuu mbona ndugai na genge lake wanafanya hivyo bungeni na mambo ya kitaifa yanapitishwa? Au ccm ni kuku na chadema ni bata yeye huwa anaarisha tu Wakati wote?
MAJINA YA MIFUKONI, KURA WANAOSEMA NDIO, NA WANAOSEMA HAPANA , KWA KUNYOOOSHA VIDOLE JUU, KAMA KWENYE TAARABU, WALIOSEMA NDIO WAMESHINDA; UFISADI NA RUSHWA MWENYEKITI KAKILI NDIO CHAMA MLICHO NACHO, MNA MIAKA MINGI SANAAAA YA KUJIPANGA NYIE!mtatiana viddole kwa sana mwaka huu[emoji123]
Ilianza kwenye kuchagua mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA.
Kwa sasa hata kuchagua Katibu Mkuu imekuwa vivyo hivyo.
Wanachama wanaombwa wanyoshe mikono juu badala ya kupewa kalamu na karatasi ili watumie haki yao ya msingi kikatiba kuchagua kiongozi wanayemtaka ndani ya sanduku la kura za siri.
Hii dhana ya uoga ni dalili inayoonyesha kinachofanyika viongozi wanafahamu hakikubaliki na wengi!
Hii aina ya demokrasia imeanza kustawi ndani ya CHADEMA baada ya ujio wa Lowassa na genge lake.
Unawaambia wanachama wanyoshe mikono juu wakati umewaangalia usoni kwa kutumia sura ya kutisha.
Chama cha Demokrasia lakini hakiishi katika demokrasia ya kweli.
Wanachama wanajengewa nidhamu ya uoga na kulea matatizo.
Binafsi sidhani kama democracy ni kipimo sahihi cha ubora, bali humaliza mabishano/mvutano, na hata ikitokea democracy ikatupa product nzuri ni by coincidence!!!Ilianza kwenye kuchagua mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA.
Kwa sasa hata kuchagua Katibu Mkuu imekuwa vivyo hivyo.
Wanachama wanaombwa wanyoshe mikono juu badala ya kupewa kalamu na karatasi ili watumie haki yao ya msingi kikatiba kuchagua kiongozi wanayemtaka ndani ya sanduku la kura za siri.
Hii dhana ya uoga ni dalili inayoonyesha kinachofanyika viongozi wanafahamu hakikubaliki na wengi!
Hii aina ya demokrasia imeanza kustawi ndani ya CHADEMA baada ya ujio wa Lowassa na genge lake.
Unawaambia wanachama wanyoshe mikono juu wakati umewaangalia usoni kwa kutumia sura ya kutisha.
Chama cha Demokrasia lakini hakiishi katika demokrasia ya kweli.
Wanachama wanajengewa nidhamu ya uoga na kulea matatizo.
Kumbe ni "wazee wa kanisa"Ngoja wakupe kile unachokitaka, subiri waje wanamalizia misa ya kwanza
Chadema huwa naifananisha na kitabu cha "A man of the people" lakini ukisoma ndani ni tofauti na title. Kwa maana hiyo ukiingia ndani ya cdm ndo utaifahamu ilivyo kwani wengi wanaona ni chama kizuri wakiwa nje.Ilianza kwenye kuchagua mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA.
Kwa sasa hata kuchagua Katibu Mkuu imekuwa vivyo hivyo.
Wanachama wanaombwa wanyoshe mikono juu badala ya kupewa kalamu na karatasi ili watumie haki yao ya msingi kikatiba kuchagua kiongozi wanayemtaka ndani ya sanduku la kura za siri.
Hii dhana ya uoga ni dalili inayoonyesha kinachofanyika viongozi wanafahamu hakikubaliki na wengi!
Hii aina ya demokrasia imeanza kustawi ndani ya CHADEMA baada ya ujio wa Lowassa na genge lake.
Unawaambia wanachama wanyoshe mikono juu wakati umewaangalia usoni kwa kutumia sura ya kutisha.
Chama cha Demokrasia lakini hakiishi katika demokrasia ya kweli.
Wanachama wanajengewa nidhamu ya uoga na kulea matatizo.
Ccm wanaweza kulia kumbe wanakuhurumia wewe, utawala wakifalme ushapotea kitambo nyie mnangangana na king mbowehahahaha. ......CCM Acheni kulialia
Mimi sina tatizo na Katibu Mkuu mpya kwa sababu simfahamu sana!Daaah kaka kwa hiyo wewe katika Mkutano wote umeona cha kunyoosha Mikono tu?Vipi Katibu Mkuu unamuonaje?
Mbona hamtuambii Kinana alipatikana vipiIlianza kwenye kuchagua mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA.
Kwa sasa hata kuchagua Katibu Mkuu imekuwa vivyo hivyo.
Wanachama wanaombwa wanyoshe mikono juu badala ya kupewa kalamu na karatasi ili watumie haki yao ya msingi kikatiba kuchagua kiongozi wanayemtaka ndani ya sanduku la kura za siri.
Hii dhana ya uoga ni dalili inayoonyesha kinachofanyika viongozi wanafahamu hakikubaliki na wengi!
Hii aina ya demokrasia imeanza kustawi ndani ya CHADEMA baada ya ujio wa Lowassa na genge lake.
Unawaambia wanachama wanyoshe mikono juu wakati umewaangalia usoni kwa kutumia sura ya kutisha.
Kilichofanyika ni sawa na making important decisions under duress na hii katika macho ya sheria ni void.
Chama cha Demokrasia lakini hakiishi katika demokrasia ya kweli.
Wanachama wanajengewa nidhamu ya uoga na kulea matatizo.
Na kikwete je?Mbowe anaiendesha Chadema kwa mkono wa chuma.