Demokrasia ndani ya CHADEMA inafutika polepole

Demokrasia ndani ya CHADEMA inafutika polepole

Dear Mr. Party leader, mind your own party business. Chadema is ours and we dont need your advise or concern. Hangaika na chama chako cha Mawese.

Ilianza kwenye kuchagua mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA.

Kwa sasa hata kuchagua Katibu Mkuu imekuwa vivyo hivyo.

Wanachama wanaombwa wanyoshe mikono juu badala ya kupewa kalamu na karatasi ili watumie haki yao ya msingi kikatiba kuchagua kiongozi wanayemtaka ndani ya sanduku la kura za siri.

Hii dhana ya uoga ni dalili inayoonyesha kinachofanyika viongozi wanafahamu hakikubaliki na wengi!

Hii aina ya demokrasia imeanza kustawi ndani ya CHADEMA baada ya ujio wa Lowassa na genge lake.

Unawaambia wanachama wanyoshe mikono juu wakati umewaangalia usoni kwa kutumia sura ya kutisha.

Kilichofanyika ni sawa na making important decisions under duress na hii katika macho ya sheria ni void.

Chama cha Demokrasia lakini hakiishi katika demokrasia ya kweli.

Wanachama wanajengewa nidhamu ya uoga na kulea matatizo.
 
Kijana ndio maana tunasema chadema ni ccm "b".
Mimi nadhani hata CCM ina demokrasia zaidi ya hii tunayoshuhudia ndani ya CHADEMA.

Wanachama wa CCM hawakubali Mwenyekiti wa chama Taifa kufanya kama anavyotaka.

Tumeshuhudia kwenye chaguzi wakishindwa vibaya wale ambao wanakuwa wanapigiwa chapuo na Mwenyekiti kuwa wajumbe au viongozi.

Tumeona mgombea wa Mkapa kwenye Urais wa Tanzania akipigwa chini. Hata mgombea wa Kikwete pia alipigwa chini.

Haijawahi kutokea ndani ya CHADEMA.
 
Dear Mr. Party leader, mind your own party business. Chadema is ours and we dont need your advise or concern. Hangaika na chama chako cha Mawese.
kumbe ndio huyu anahangaika kama kuku anataka kutaga
 
Ilianza kwenye kuchagua mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA.

Kwa sasa hata kuchagua Katibu Mkuu imekuwa vivyo hivyo.

Wanachama wanaombwa wanyoshe mikono juu badala ya kupewa kalamu na karatasi ili watumie haki yao ya msingi kikatiba kuchagua kiongozi wanayemtaka ndani ya sanduku la kura za siri.

Hii dhana ya uoga ni dalili inayoonyesha kinachofanyika viongozi wanafahamu hakikubaliki na wengi!

Hii aina ya demokrasia imeanza kustawi ndani ya CHADEMA baada ya ujio wa Lowassa na genge lake.

Unawaambia wanachama wanyoshe mikono juu wakati umewaangalia usoni kwa kutumia sura ya kutisha.

Kilichofanyika ni sawa na making important decisions under duress na hii katika macho ya sheria ni void.

Chama cha Demokrasia lakini hakiishi katika demokrasia ya kweli.

Wanachama wanajengewa nidhamu ya uoga na kulea matatizo.
Unaleta vitu vilivyotoboka sana
 
Msemaji ukweli unashangaza sana kama in kufutika Kwa demokrasia basi imeanza kufutika kwenye chama cha CCM .Mwenyekiti anaingia Na majina 5 mfukoni mwake mnashangilia kama mazuzu halafu Leo mnasema eti Chadema hawana demokrasia wewe wa ajabu sana
 
Magamba mbona mnaweweseka Na chadema acheni kulia kulia nyinyi
 
Mamluki kufutika ndiyo kufutika kwa demokrasia ?
 
Kwani mkuu mbona ndugai na genge lake wanafanya hivyo bungeni na mambo ya kitaifa yanapitishwa? Au ccm ni kuku na chadema ni bata yeye huwa anaarisha tu Wakati wote?
Kwahiyo chadema nao wanaiga mabaya ya ccm?
 
Ilianza kwenye kuchagua mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA.

Kwa sasa hata kuchagua Katibu Mkuu imekuwa vivyo hivyo.

Wanachama wanaombwa wanyoshe mikono juu badala ya kupewa kalamu na karatasi ili watumie haki yao ya msingi kikatiba kuchagua kiongozi wanayemtaka ndani ya sanduku la kura za siri.

Hii dhana ya uoga ni dalili inayoonyesha kinachofanyika viongozi wanafahamu hakikubaliki na wengi!

Hii aina ya demokrasia imeanza kustawi ndani ya CHADEMA baada ya ujio wa Lowassa na genge lake.

Unawaambia wanachama wanyoshe mikono juu wakati umewaangalia usoni kwa kutumia sura ya kutisha.

Kilichofanyika ni sawa na making important decisions under duress na hii katika macho ya sheria ni void.

Chama cha Demokrasia lakini hakiishi katika demokrasia ya kweli.

Wanachama wanajengewa nidhamu ya uoga na kulea matatizo.
Nonsense.
 
unataka tuamini kuwa ndani ya CHADEMA hakuna demokrasia, hii inawezekana ikawa ni kweli demokrasia haipo. lakini jiulize wakati wa kumchagua Magufuli kuwa mgombea urais wa tiketi ya ccm demokrasia ilifuatwa?
Binafsi chadema mnanichosha kwahiyo nanyi mnawafuatisha CCM? Kwakua CCM ni wezi nanyi mtakaposhika dola mtaiba kwakua CCM waliiba?
Mbona hamjibu kwa hoja nzuri zenye mashiko kama zile tulizozizoea hapo awali? Kwa mtindo huu mnapotea kiukweli.
 
Demokrasia ipi unayozungumzia haswa , je chama chako Kinafata demokrasia . Nianze na mifano michache swala la umeya Tanga ,Dar na morogoro ni demokrasia ipi mmetumia tatizo hapo Lumumba mmezidi kukurupuka . Kwa hiyo zile kura za ndio/ hapana kule Bungeni hazifati demokrasia? Toa borit kwenye jicho lako ndo utoe kitanzi kwenye jicho la mwenzako.
Tatizo lako unajenga hoja kwa kutumia hisia.

Kama wewe una chama unadhani kila mtu ana chama.

Kwa hiyo CHADEMA imeamua kutenda kama ilivyo kwenye bunge?

Kupiga kura kwa kunyosha mikono juu ni takwa la kanuni za bunge. Kwenye Kanuni za Chadema hakuna takwa hilo.

Chaguzi za nyuma kabla ya ujio wa Lowassa na genge lake, wagombea wa uongozi ndani ya CHADEMA walikuwa wakipigiwa kura za siri.

Lowassa ameibadilisha CHADEMA!
 
Back
Top Bottom