nchiyetutztz
Member
- Oct 29, 2018
- 13
- 12
Upotoshaji mkubwa kwa baadhi ya posts hapa jamii forum unaendelea. Ushahidi wa kisayansi (credible scientific/empirical evidence) unaonyesha kuwa bado hakuna muafaka kwenye mahusiano ya moja kwa moja kati ya haya mawili. Robo tatu ya tafiti zimethibitisha demokrasia inachangia maendeleo.
Robo tatu ya tafiti pia inaonyesha demokrasia haichangii maendeleo, na robo tatu iliyobaki inaonyesha hakuna mahusiano kati ya haya mawili (insignificant correlation). Kwa hiyo haya mahusiano bado ni ‘highly contested debate’ kwenye scientific society.
Lakini kitu ambacho ushahidi wa kisayansi uko "solid" ni kuwa hata kama kukua kwa uchumi kutapatikana ndani ya authoritarian regimes (kukosekana kwa demokrasia) ukuaji huo utakuwa unasumbuliwa na frequent boom and bust kuliko mazingira yanayotawaliwa na demokrasia.
Ushahidi pia unaonyesha kuwa ni vigumu kwa democrasia kuwa sustained kwenye mazingira ya kipato cha chini/umaskini kuliko kwenye mazingira ya kutokuwepo kwa umaskini. Nahitimisha kwa kusema: Tutaisaidia sana nchi yetu (in the medium and long run) kwa malumbano yetu kujikita zaidi kwenye sayansi na kuepuka hisia na ushabiki.
Robo tatu ya tafiti pia inaonyesha demokrasia haichangii maendeleo, na robo tatu iliyobaki inaonyesha hakuna mahusiano kati ya haya mawili (insignificant correlation). Kwa hiyo haya mahusiano bado ni ‘highly contested debate’ kwenye scientific society.
Lakini kitu ambacho ushahidi wa kisayansi uko "solid" ni kuwa hata kama kukua kwa uchumi kutapatikana ndani ya authoritarian regimes (kukosekana kwa demokrasia) ukuaji huo utakuwa unasumbuliwa na frequent boom and bust kuliko mazingira yanayotawaliwa na demokrasia.
Ushahidi pia unaonyesha kuwa ni vigumu kwa democrasia kuwa sustained kwenye mazingira ya kipato cha chini/umaskini kuliko kwenye mazingira ya kutokuwepo kwa umaskini. Nahitimisha kwa kusema: Tutaisaidia sana nchi yetu (in the medium and long run) kwa malumbano yetu kujikita zaidi kwenye sayansi na kuepuka hisia na ushabiki.