Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 10,388
- 12,081
Huyo jamaa anajua kuwa kupata ajira ndo demokrasia... Aibu sana!Unajua maana ya demokrasia lakini ?
Huyo jamaa anajua kuwa kupata ajira ndo demokrasia... Aibu sana!Unajua maana ya demokrasia lakini ?
Samia anashindwa nn kuzuia haya yanayoendelea?Vyote hivyo aliasisi jpm. Jpm alizima twiter wakati wa uchaguzi akimhofia lisu
asante mkuu. kuna watu hawataki kuskia haya uliyoyasema. wao wanataka useme mama hajafanyakitu toka awaemadarakani. Mwanzo mwa uongozi wake wapinzani wake walisema amesusa miradi ya mtangulizi wake. wakasema ameondoa elimu bure mashuleni. yaani hawataki kuskia unasema jema lolote la huyu mama wanataka wote tuimbe mabadiliko ya uchaguzi ili wapate vyeo .Wote tunakumbuka kipindi kile ukitokea we ni mpinzani unawindwa na akinq sabaya na makonda kwa maagizo ya yule nduli.
Alifunga mikutano yote ya chadema kwa kuwahofia na hakuwa anapenda kabisa siasa ndo mana nchi iliongozwa kwa uongo mwingi mana hakukuwa na mkosoaji na aliogopa hilo
Mama anaajiri, anapandisha mishahra, aliondoa retention fee ya helslb, biabisha na uwekezaji viko juu.
Asante mama