Wote tunakumbuka kipindi kile ukitokea we ni mpinzani unawindwa na akinq sabaya na makonda kwa maagizo ya yule nduli.
Alifunga mikutano yote ya chadema kwa kuwahofia na hakuwa anapenda kabisa siasa ndo mana nchi iliongozwa kwa uongo mwingi mana hakukuwa na mkosoaji na aliogopa hilo
Mama anaajiri, anapandisha mishahra, aliondoa retention fee ya helslb, biabisha na uwekezaji viko juu.
Asante mama
Alifunga mikutano yote ya chadema kwa kuwahofia na hakuwa anapenda kabisa siasa ndo mana nchi iliongozwa kwa uongo mwingi mana hakukuwa na mkosoaji na aliogopa hilo
Mama anaajiri, anapandisha mishahra, aliondoa retention fee ya helslb, biabisha na uwekezaji viko juu.
Asante mama