Demokrasia inakanyagwa, umma kimya

potokaz

JF-Expert Member
Jul 19, 2011
540
493
Jamii iliyosrarabika yenye kuheshimu demokrasia, mifumo imara inayobeba ya uwajibikaji, heshima ya utu dhidi ya udhalilishaji na uadilifu haishuki kama mvua ya MUNGU inajengwa na SISI na kamwe si WATAWALA.

Watawala wanapaswa kuheshimu matakwa ya WATU!

ANGALIA kule ambako vyama vya UPUNZANI vimeshinda WATAWALA wameepokonya USHINDI, Tunajua yaliyotekea ZANZIBAR, TANGA, KILOMBERO na kwingineko hata HILI linaloendelea JIJI la DAR ES SALAAM. MADIWANI wa UKAWA wanakuwa WENGI lakini bado WATAWALA wanapora USHINDI.

Hii ni FEDHEHA kwa DEMOKRASIA.

Hakika AFRIKA bado sana DEMOKRASIA yetu. Nashawishika kuamini kuwa, HAUTUWEZI kusimamia CHAGUZI zetu wenyewe kwa HAKI kwa kuwa WATAWALA hawataki kuona wakipoteza UONGOZI kidemokrasia, LABDA sasa kiundwe chombo cha kusimamia Uchaguzi kwa NCHI zote za AFRIKA kuanzia URAIS hadi UDIWANI ili kuepusha figisufigisu za kijinga kama ambavyo zinaendelea. LABDA chombo hiki kiendeshwe na WAZUNGU HATA KAMA HATUPENDI tukubali tu sisi wenyewe TUMESHINDWA kujisimamia kwa HAKI katika masuala ya UCHAGUZI!

OLE wao watendayo haya!

OLE wao waporao HAKI!

Maandiko Matakatifu yanatuambia "HAKUNA AMANI KWA WAOVU".

Watapata madaraka lakini hawakaa madarakani kwa AMANI!

Dhuluma Haiwezi Kushinda Haki!
 
Jamii iliyosrarabika yenye kuheshimu demokrasia, mifumo imara inayobeba ya uwajibikaji, heshima ya utu dhidi ya udhalilishaji na uadilifu haishuki kama mvua ya MUNGU inajengwa na SISI na kamwe si WATAWALA.

Watawala wanapaswa kuheshimu matakwa ya WATU!

ANGALIA kule ambako vyama vya UPUNZANI vimeshinda WATAWALA wameepokonya USHINDI, Tunajua yaliyotekea ZANZIBAR, TANGA, KILOMBERO na kwingineko hata HILI linaloendelea JIJI la DAR ES SALAAM. MADIWANI wa UKAWA wanakuwa WENGI lakini bado WATAWALA wanapora USHINDI.

Hii ni FEDHEHA kwa DEMOKRASIA.

Hakika AFRIKA bado sana DEMOKRASIA yetu. Nashawishika kuamini kuwa, HAUTUWEZI kusimamia CHAGUZI zetu wenyewe kwa HAKI kwa kuwa WATAWALA hawataki kuona wakipoteza UONGOZI kidemokrasia, LABDA sasa kiundwe chombo cha kusimamia Uchaguzi kwa NCHI zote za AFRIKA kuanzia URAIS hadi UDIWANI ili kuepusha figisufigisu za kijinga kama ambavyo zinaendelea. LABDA chombo hiki kiendeshwe na WAZUNGU HATA KAMA HATUPENDI tukubali tu sisi wenyewe TUMESHINDWA kujisimamia kwa HAKI katika masuala ya UCHAGUZI!

OLE wao watendayo haya!

OLE wao waporao HAKI!

Maandiko Matakatifu yanatuambia "HAKUNA AMANI KWA WAOVU".

Watapata madaraka lakini hawakaa madarakani kwa AMANI!

Dhuluma Haiwezi Kushinda Haki!
Jamii iliyosrarabika yenye kuheshimu demokrasia, mifumo imara inayobeba ya uwajibikaji, heshima ya utu dhidi ya udhalilishaji na uadilifu haishuki kama mvua ya MUNGU inajengwa na SISI na kamwe si WATAWALA.

Watawala wanapaswa kuheshimu matakwa ya WATU!

ANGALIA kule ambako vyama vya UPUNZANI vimeshinda WATAWALA wameepokonya USHINDI, Tunajua yaliyotekea ZANZIBAR, TANGA, KILOMBERO na kwingineko hata HILI linaloendelea JIJI la DAR ES SALAAM. MADIWANI wa UKAWA wanakuwa WENGI lakini bado WATAWALA wanapora USHINDI.

Hii ni FEDHEHA kwa DEMOKRASIA.

Hakika AFRIKA bado sana DEMOKRASIA yetu. Nashawishika kuamini kuwa, HAUTUWEZI kusimamia CHAGUZI zetu wenyewe kwa HAKI kwa kuwa WATAWALA hawataki kuona wakipoteza UONGOZI kidemokrasia, LABDA sasa kiundwe chombo cha kusimamia Uchaguzi kwa NCHI zote za AFRIKA kuanzia URAIS hadi UDIWANI ili kuepusha figisufigisu za kijinga kama ambavyo zinaendelea. LABDA chombo hiki kiendeshwe na WAZUNGU HATA KAMA HATUPENDI tukubali tu sisi wenyewe TUMESHINDWA kujisimamia kwa HAKI katika masuala ya UCHAGUZI!

OLE wao watendayo haya!

OLE wao waporao HAKI!

Maandiko Matakatifu yanatuambia "HAKUNA AMANI KWA WAOVU".

Watapata madaraka lakini hawakaa madarakani kwa AMANI!

Dhuluma Haiwezi Kushinda Haki!
 
Jamii iliyosrarabika yenye kuheshimu demokrasia, mifumo imara inayobeba ya uwajibikaji, heshima ya utu dhidi ya udhalilishaji na uadilifu haishuki kama mvua ya MUNGU inajengwa na SISI na kamwe si WATAWALA.

Watawala wanapaswa kuheshimu matakwa ya WATU!

ANGALIA kule ambako vyama vya UPUNZANI vimeshinda WATAWALA wameepokonya USHINDI, Tunajua yaliyotekea ZANZIBAR, TANGA, KILOMBERO na kwingineko hata HILI linaloendelea JIJI la DAR ES SALAAM. MADIWANI wa UKAWA wanakuwa WENGI lakini bado WATAWALA wanapora USHINDI.

Hii ni FEDHEHA kwa DEMOKRASIA.

Hakika AFRIKA bado sana DEMOKRASIA yetu. Nashawishika kuamini kuwa, HAUTUWEZI kusimamia CHAGUZI zetu wenyewe kwa HAKI kwa kuwa WATAWALA hawataki kuona wakipoteza UONGOZI kidemokrasia, LABDA sasa kiundwe chombo cha kusimamia Uchaguzi kwa NCHI zote za AFRIKA kuanzia URAIS hadi UDIWANI ili kuepusha figisufigisu za kijinga kama ambavyo zinaendelea. LABDA chombo hiki kiendeshwe na WAZUNGU HATA KAMA HATUPENDI tukubali tu sisi wenyewe TUMESHINDWA kujisimamia kwa HAKI katika masuala ya UCHAGUZI!

OLE wao watendayo haya!

OLE wao waporao HAKI!

Maandiko Matakatifu yanatuambia "HAKUNA AMANI KWA WAOVU".

Watapata madaraka lakini hawakaa madarakani kwa AMANI!

Dhuluma Haiwezi Kushinda Haki!
Anzia hapa CDM,chama cha demokrasia. Je ni kweli kuna demokrasi ndani ya chadema?
 
Chama cha upinzani Africa ni lazima kiwe na taswira ya kiuasi ili kifanikiwe katika siasa.
We must develop a militant outlook to be respected.

If we talk and talk and talk it won't help.
If we arrange movements and get beaten by the military it gets useless.
But we must be people of actions and prove beyond reasonable doubt that we can pay all our creditors and that we can collect from all our debtors.
If we can do this we will get respect and no one will dare play with us.

The problem is 'we are counting on God too much!'
We want to pray more than Marry and Jesus and this is simply not a winning strategy.
 
ingekuwa raisi ni muislam ungesika kelele za Tamwa, Taula, Wanaharakati, wanasheria etc, lakini kwa kuwa raisi si muislamu hata afanye vp hawezi kupigiwa kelele, so sad!, missing you JK kwa ukomavu wako na kuistawisha demokrasia nchini
 
Jamii iliyosrarabika yenye kuheshimu demokrasia, mifumo imara inayobeba ya uwajibikaji, heshima ya utu dhidi ya udhalilishaji na uadilifu haishuki kama mvua ya MUNGU inajengwa na SISI na kamwe si WATAWALA.

Watawala wanapaswa kuheshimu matakwa ya WATU!

ANGALIA kule ambako vyama vya UPUNZANI vimeshinda WATAWALA wameepokonya USHINDI, Tunajua yaliyotekea ZANZIBAR, TANGA, KILOMBERO na kwingineko hata HILI linaloendelea JIJI la DAR ES SALAAM. MADIWANI wa UKAWA wanakuwa WENGI lakini bado WATAWALA wanapora USHINDI.

Hii ni FEDHEHA kwa DEMOKRASIA.

Hakika AFRIKA bado sana DEMOKRASIA yetu. Nashawishika kuamini kuwa, HAUTUWEZI kusimamia CHAGUZI zetu wenyewe kwa HAKI kwa kuwa WATAWALA hawataki kuona wakipoteza UONGOZI kidemokrasia, LABDA sasa kiundwe chombo cha kusimamia Uchaguzi kwa NCHI zote za AFRIKA kuanzia URAIS hadi UDIWANI ili kuepusha figisufigisu za kijinga kama ambavyo zinaendelea. LABDA chombo hiki kiendeshwe na WAZUNGU HATA KAMA HATUPENDI tukubali tu sisi wenyewe TUMESHINDWA kujisimamia kwa HAKI katika masuala ya UCHAGUZI!

OLE wao watendayo haya!

OLE wao waporao HAKI!

Maandiko Matakatifu yanatuambia "HAKUNA AMANI KWA WAOVU".

Watapata madaraka lakini hawakaa madarakani kwa AMANI!

Dhuluma Haiwezi Kushinda Haki!
Tatizo mnapiga kelele tu hakuna mipango mnayoipanga ili kukomesha haya. Nani alikuambia kuna chama kipo tayari kushindwa. Mmeamua kuwa wanasiasa basi piganeni kiume. All we need is changes
 
Jamii iliyosrarabika yenye kuheshimu demokrasia, mifumo imara inayobeba ya uwajibikaji, heshima ya utu dhidi ya udhalilishaji na uadilifu haishuki kama mvua ya MUNGU inajengwa na SISI na kamwe si WATAWALA.

Watawala wanapaswa kuheshimu matakwa ya WATU!

ANGALIA kule ambako vyama vya UPUNZANI vimeshinda WATAWALA wameepokonya USHINDI, Tunajua yaliyotekea ZANZIBAR, TANGA, KILOMBERO na kwingineko hata HILI linaloendelea JIJI la DAR ES SALAAM. MADIWANI wa UKAWA wanakuwa WENGI lakini bado WATAWALA wanapora USHINDI.

Hii ni FEDHEHA kwa DEMOKRASIA.

Hakika AFRIKA bado sana DEMOKRASIA yetu. Nashawishika kuamini kuwa, HAUTUWEZI kusimamia CHAGUZI zetu wenyewe kwa HAKI kwa kuwa WATAWALA hawataki kuona wakipoteza UONGOZI kidemokrasia, LABDA sasa kiundwe chombo cha kusimamia Uchaguzi kwa NCHI zote za AFRIKA kuanzia URAIS hadi UDIWANI ili kuepusha figisufigisu za kijinga kama ambavyo zinaendelea. LABDA chombo hiki kiendeshwe na WAZUNGU HATA KAMA HATUPENDI tukubali tu sisi wenyewe TUMESHINDWA kujisimamia kwa HAKI katika masuala ya UCHAGUZI!

OLE wao watendayo haya!

OLE wao waporao HAKI!

Maandiko Matakatifu yanatuambia "HAKUNA AMANI KWA WAOVU".

Watapata madaraka lakini hawakaa madarakani kwa AMANI!

Dhuluma Haiwezi Kushinda Haki!

Afrika iliyoshindwa kumuwajibisha Nkuruzinza Unategemea hiyo Tume itasaidia Mpinzani?? Rafiki wote ni wale wale bora RAIA apogee lakini wao wana endelea kuula.Imani ya Magufuli imeyeyuka kama barafu kwenye jua.
 
Mwendo mdundo kaka hapa kazi tu ukarimu huanzia nyumbani kwako mkuu huko kwenu cdm demokrasia ipo? usitoe boliti jichoni kwa mwenzako wakati lako linaziba,demokrasia ipi unaitaka mkuu! demokrasia ni upuuzi wa wazungu ngoja ibaki kwenye makaratasi tuminyane mpaka ifikie hatua tuheshimiane maana tumewavumilia tumechoka hakuna namna
 
Tatizo mnapiga kelele tu hakuna mipango mnayoipanga ili kukomesha haya. Nani alikuambia kuna chama kipo tayari kushindwa. Mmeamua kuwa wanasiasa basi piganeni kiume. All we need is changes
Unafanyaje??Wakati maamuzi yameshafanyika na ngazi ya juu ya uongozi??Na kwamba wabunge wa Z'bar ndiyo wanaokuja kutuamulia Meya wa Kuongoza Dar??Sijui kama JPM anaelewa kuwa hii ni aibu ya mwaka
 
Mwendo mdundo kaka hapa kazi tu ukarimu huanzia nyumbani kwako mkuu huko kwenu cdm demokrasia ipo? usitoe boliti jichoni kwa mwenzako wakati lako linaziba,demokrasia ipi unaitaka mkuu! demokrasia ni upuuzi wa wazungu ngoja ibaki kwenye makaratasi tuminyane mpaka ifikie hatua tuheshimiane maana tumewavumilia tumechoka hakuna namna
Seriosly brother, unaitukana demokrasia kiasi hiki mradi tu wewe au mjomba wako ni wanufaika??, itizame kesho yako na watoto wako na wa huyo unayemuona kama mppinzani. Tanzania ni yetu sote na wote tuna haki sawa si tu ya kuchagua bali hata kuchaguliwa.
Uchaguzi unapomalizizika, demokrasia lazima iheshimiwe walioshinda washinde na waonekame wameshinda kadhalika na walioshindwa vinginevyo tutakuwa tunaendeleza UNYANI na wazungu wataendelea kutudhaarau!, Fikiri sawasawa brother na punguza ushabiki wa ki CCMCCM!
 
Kuna halmashauri na majiji yatakuwa paralysed kiutawala na kimaendeleo. Kwani Arusha ilikuwaje?
 
Tatizo mnapiga kelele tu hakuna mipango mnayoipanga ili kukomesha haya. Nani alikuambia kuna chama kipo tayari kushindwa. Mmeamua kuwa wanasiasa basi piganeni kiume. All we need is changes

Wapange nini wakati Mwenyekiti alishabalisha katiba ya Chama na kuwa 'Sultan'? Mwaka jana kawapigisha deki ili 'mwekezaji wake' asipatwe na vumbi, sasa wasubiri atoke na kibarua kingine.
 
Jamii iliyosrarabika yenye kuheshimu demokrasia, mifumo imara inayobeba ya uwajibikaji, heshima ya utu dhidi ya udhalilishaji na uadilifu haishuki kama mvua ya MUNGU inajengwa na SISI na kamwe si WATAWALA.

Watawala wanapaswa kuheshimu matakwa ya WATU!

ANGALIA kule ambako vyama vya UPUNZANI vimeshinda WATAWALA wameepokonya USHINDI, Tunajua yaliyotekea ZANZIBAR, TANGA, KILOMBERO na kwingineko hata HILI linaloendelea JIJI la DAR ES SALAAM. MADIWANI wa UKAWA wanakuwa WENGI lakini bado WATAWALA wanapora USHINDI.

Hii ni FEDHEHA kwa DEMOKRASIA.

Hakika AFRIKA bado sana DEMOKRASIA yetu. Nashawishika kuamini kuwa, HAUTUWEZI kusimamia CHAGUZI zetu wenyewe kwa HAKI kwa kuwa WATAWALA hawataki kuona wakipoteza UONGOZI kidemokrasia, LABDA sasa kiundwe chombo cha kusimamia Uchaguzi kwa NCHI zote za AFRIKA kuanzia URAIS hadi UDIWANI ili kuepusha figisufigisu za kijinga kama ambavyo zinaendelea. LABDA chombo hiki kiendeshwe na WAZUNGU HATA KAMA HATUPENDI tukubali tu sisi wenyewe TUMESHINDWA kujisimamia kwa HAKI katika masuala ya UCHAGUZI!

OLE wao watendayo haya!

OLE wao waporao HAKI!

Maandiko Matakatifu yanatuambia "HAKUNA AMANI KWA WAOVU".

Watapata madaraka lakini hawakaa madarakani kwa AMANI!

Dhuluma Haiwezi Kushinda Haki!
niliposema serikali ya ccm iko tayari kupoteza ikibidi robo tatu ya watanzania ili mradi waendelee kukaa madarakani mlidhani natania, hapo Kilombero wako tayari kupoteza wakazi wote ili mradi wapate uongozi na ndivyo wamejipanga Zanzibar
 
Jamii iliyosrarabika yenye kuheshimu demokrasia, mifumo imara inayobeba ya uwajibikaji, heshima ya utu dhidi ya udhalilishaji na uadilifu haishuki kama mvua ya MUNGU inajengwa na SISI na kamwe si WATAWALA.

Watawala wanapaswa kuheshimu matakwa ya WATU!

ANGALIA kule ambako vyama vya UPUNZANI vimeshinda WATAWALA wameepokonya USHINDI, Tunajua yaliyotekea ZANZIBAR, TANGA, KILOMBERO na kwingineko hata HILI linaloendelea JIJI la DAR ES SALAAM. MADIWANI wa UKAWA wanakuwa WENGI lakini bado WATAWALA wanapora USHINDI.

Hii ni FEDHEHA kwa DEMOKRASIA.

Hakika AFRIKA bado sana DEMOKRASIA yetu. Nashawishika kuamini kuwa, HAUTUWEZI kusimamia CHAGUZI zetu wenyewe kwa HAKI kwa kuwa WATAWALA hawataki kuona wakipoteza UONGOZI kidemokrasia, LABDA sasa kiundwe chombo cha kusimamia Uchaguzi kwa NCHI zote za AFRIKA kuanzia URAIS hadi UDIWANI ili kuepusha figisufigisu za kijinga kama ambavyo zinaendelea. LABDA chombo hiki kiendeshwe na WAZUNGU HATA KAMA HATUPENDI tukubali tu sisi wenyewe TUMESHINDWA kujisimamia kwa HAKI katika masuala ya UCHAGUZI!

OLE wao watendayo haya!

OLE wao waporao HAKI!

Maandiko Matakatifu yanatuambia "HAKUNA AMANI KWA WAOVU".

Watapata madaraka lakini hawakaa madarakani kwa AMANI!

Dhuluma Haiwezi Kushinda Haki!
Tunavyomwachia mungu ccm ndio wanafurahi. Wanatudanganya tuwaombee lakini wao wanatumia vyombo vya dola kulazimisha mambo. Mungu katupa akili ivo tuitumie kumaliza udhalimu wa ccm. Hata maandiko matakatifu yanasema jino kwa jino. Bila nguvu ya umma kutumika tutabaki tukilalamika tu huku tunanyanyaswa kila kukicha.
 
Magufuli kama hatakemea ujinga unaoendelezwa na ccm atakuwa anajitia aibu mwenyewe! Hivi haoni kabisa kuna mkakati wa kumchonganisha na umma? Hebu azinduke bwana, tunajua sisi Wasukuma akili yetu huwa inafanya kazi taratibu sana! Hivyo muda huo umetosha aamke aisee! Umma ukichoka nchi haitakuwa salama hata kidogo!
 
Ina KAMYAGWA? Ndo LUGHA ya wapi hiyo? Rudi darasan kwanza then ukijua lugha uje

Jamii iliyosrarabika yenye kuheshimu demokrasia, mifumo imara inayobeba ya uwajibikaji, heshima ya utu dhidi ya udhalilishaji na uadilifu haishuki kama mvua ya MUNGU inajengwa na SISI na kamwe si WATAWALA.

Watawala wanapaswa kuheshimu matakwa ya WATU!

ANGALIA kule ambako vyama vya UPUNZANI vimeshinda WATAWALA wameepokonya USHINDI, Tunajua yaliyotekea ZANZIBAR, TANGA, KILOMBERO na kwingineko hata HILI linaloendelea JIJI la DAR ES SALAAM. MADIWANI wa UKAWA wanakuwa WENGI lakini bado WATAWALA wanapora USHINDI.

Hii ni FEDHEHA kwa DEMOKRASIA.

Hakika AFRIKA bado sana DEMOKRASIA yetu. Nashawishika kuamini kuwa, HAUTUWEZI kusimamia CHAGUZI zetu wenyewe kwa HAKI kwa kuwa WATAWALA hawataki kuona wakipoteza UONGOZI kidemokrasia, LABDA sasa kiundwe chombo cha kusimamia Uchaguzi kwa NCHI zote za AFRIKA kuanzia URAIS hadi UDIWANI ili kuepusha figisufigisu za kijinga kama ambavyo zinaendelea. LABDA chombo hiki kiendeshwe na WAZUNGU HATA KAMA HATUPENDI tukubali tu sisi wenyewe TUMESHINDWA kujisimamia kwa HAKI katika masuala ya UCHAGUZI!

OLE wao watendayo haya!

OLE wao waporao HAKI!

Maandiko Matakatifu yanatuambia "HAKUNA AMANI KWA WAOVU".

Watapata madaraka lakini hawakaa madarakani kwa AMANI!

Dhuluma Haiwezi Kushinda Haki!
 
Ina KAMYAGWA? Ndo LUGHA ya wapi hiyo? Rudi darasan kwanza then ukijua lugha uje
Mkuu haya majitu kutoka Burundi tumeyakaribisha Tanzania kwa Upendo..,sasa hivi ndio yanajidai vinara wa kutaka kuleta machafuko. Unaona hata Kiswahili tu kinalipiga hilo dubwana chenga.
 
CCM ni wanaharamu...yani wakiamua lao mpaka liwe siunajua wanaringia dola. Na hawa mapoliccm wanatumika watakavyo...
 
  • Kuna haja ya kuyarudisha kwao maana yanataka kuharibu kote kote. Yanataka kutuharibia mpaka lugha yetu pia ukiacha amani.

Mkuu haya majitu kutoka Burundi tumeyakaribisha Tanzania kwa Upendo..,sasa hivi ndio yanajidai vinara wa kutaka kuleta machafuko. Unaona hata Kiswahili tu kinalipiga hilo dubwana chenga.
 
Back
Top Bottom