HahahahaNilivyosoma tu kichwa Cha habari nikasema wifi yangu huyu anatafutwa wapi kaka
Mfanyabiashara wa madiniMmh jamani ya kweli haya?
Yule mfanyabiashara wa madini nilikuwa namkubali sana. Na yule dada wa kitengo @mamtefu
Wapo wenye upendo wa dhati kabisaLaaaa laaaaah, Dah huyo jamaa kafanya vibaya sana aiseee, Yan humu wenye upendo ni wachache sana aisee.
HaaahaaaInashangaza sana..
Na wanaoyaleta wengi ni jinsia ya ME ni mara chache sana KE kuleta mambo kama haya humu..
Kuna huyo mpuuzi mmoja huyo nasikia yeye akishamkula Mwanamke humu akafanikiwa kupata mwingine tena JF kazi aliyonayo ni kumpondea au kuwapondea wote aliokuwa nao kwenye mahusiano..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona haonekani au ka-change ID?Ila yupo humu
Mshana kipindi hicho akiwa anaupigwa mwingi..mabazazi jasho likawa linawatoka
We mjanjaUsikute wanapita na kuchangia hapa kwa ID nyingine
Witty 🤣🤣🤣🤣🤣We mnjanja
Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno
Humu kuna vichaa asee
Kumbe una multiple ID's na hujanambia, aki nashuku huu ushost wetu😂😂
Mamtefu p....? Mbona yupoMmh jamani ya kweli haya?
Yule mfanyabiashara wa madini nilikuwa namkubali sana. Na yule dada wa kitengo @mamtefu
Shost akee 😂😂😂😂Kumbe una multiple ID's na hujanambia, aki nashuku huu ushost wetu😂😂
We mnjanja
Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno
Humu kuna vichaa asee
We mnjanja
Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno
Humu kuna vichaa asee
Chaaa!We mnjanja
Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno
Humu kuna vichaa asee
Ukishaona unionyeshe na mimi.Witty
Usinifanye nikarudia upya kusoma comments..
Kumbe ndiye Chamdeko na hasemiKumbe una multiple ID's na hujanambia, aki nashuku huu ushost wetu
We mnjanja
Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno
Humu kuna vichaa asee