Dell latitude d630 haitaki kupokea mzigo

Dell latitude d630 haitaki kupokea mzigo

GreenCity

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2012
Posts
5,904
Reaction score
4,666
Ladies na Magents wa Tech, Gadgets & Science Forum, wasaalam!

PC yangu inapoanza kuzingua mara nyingi huwa najaribu kuinstall ant-virus na kuscan partitions kwa kadili niwezavyo na inapotokea bado ina tatizo, huwa nafanya system restore; lakini ikizidi kuzingua au ikifail ku-restart completely basi huwa naamua ku-instal a fresh copy of windows (normally, windows 7). nimefanya hivi zaidi ya mara 8 tangu Sept mwaka jana.

lakini kwa muda sasa, nikijaribu ku-install windows (be it xp2, xp3, xp3 geneous or windows 7) inagoma kabisa. yaani inaweza anza loading files....100%
copying files.... 100%
restarts... (kama kawaida)
installing windows...
restarts... (hapa ina-stuck wakati ikianza kuonesha ile logo ya Windows 7)

wakuu, nimejaribu kurudia mara kadhaa lakini wapi! na hii inatokea niki boot from disk pia hata niki-install kupitia runninig windows (kuna windows xp moja inakubali lakini with limited drivers)


kwa xp3 etc zenyewe inaanza kuingia lakini inapofika 34 minutes remaining ina-stuck kabisa au inaonesha error (an error occured that prevents setup to continue).

sasa Wakuu naomba msaada wenu, tatizo laweza kuwa nini? na nijaribu kufanya nini!?

i advance my regards!


CC: Young Master , SPYMATE , CTO , page , chief-mkwawa , jumaa24 , BinMgen na ma comrade wote
 
Last edited by a moderator:
Mhmmm!!! Kutokana na maelezo yako inaelekea your hard disk is dead. Badilisha hard disk nyingine na kila kitu kitakuwa sawa. Pia achana na software ambazo zinasababisha windows yako ku-crash...remember kadiri unavyozidi ku-format pc yako ndivyo jinsi unavyozidi kupunguza uhai wa hard disk yako.
 
Nakubariana na Young Master, Pia nimepata tatizo kama hilo siku chache zilizopita katika Desktop yangu inarun Window 8 / na XP ina HDD mbili, kila nikijaribu kuiwasha inaishia kwenye logo ya Windows na kustack hapo. NIkajaribu kudisconnect hdd moja na kujaribu kuwasha ikawaka vizuri kabisa, nilipojaribu ile nyingine niliyokuwa nimedisconnect ugonjwa unarudi pale pale.
 
Mhmmm!!! Kutokana na maelezo yako inaelekea your hard disk is dead. Badilisha hard disk nyingine na kila kitu kitakuwa sawa. Pia achana na software ambazo zinasababisha windows yako ku-crash...remember kadiri unavyozidi ku-format pc yako ndivyo jinsi unavyozidi kupunguza uhai wa hard disk yako.
much respect mkuu Young Master nimejifunza kitu toka kwako!
 
Last edited by a moderator:
Nakubariana na Young Master, Pia nimepata tatizo kama hilo siku chache zilizopita katika Desktop yangu inarun Window 8 / na XP ina HDD mbili, kila nikijaribu kuiwasha inaishia kwenye logo ya Windows na kustack hapo. NIkajaribu kudisconnect hdd moja na kujaribu kuwasha ikawaka vizuri kabisa, nilipojaribu ile nyingine niliyokuwa nimedisconnect ugonjwa unarudi pale pale.
mkuu JuaKali asante kwa msisitizo, nami naamini tatizo ni hii HDD itakuwa taabani!
 
Last edited by a moderator:
kablala kubadili HDD, jaribu windows tofauti na hizo ulizo nazo, namaanisha waweza azima kwa mtu, yawezeka copy ulizonazo kuna error yoyote, ikshindikana fuata ushauri wa JuaKali
 
Last edited by a moderator:
kablala kubadili HDD, jaribu windows tofauti na hizo ulizo nazo, namaanisha waweza azima kwa mtu, yawezeka copy ulizonazo kuna error yoyote, ikshindikana fuata ushauri wa JuaKali

poa mkuu! nitaanzia humohumo!
 
Kuna sababu ya Msingi inayokuzuia kutumia Linux?
Hizo Os CDs zote ni genuine au pirated?
 
Kuna sababu ya Msingi inayokuzuia kutumia Linux?

hakuna sababu ya msingi mkuu, japo naona kama windows ni user's friendly hasa linapokuja suala la kuogeza programs mbalimbali!

Hizo Os CDs zote ni genuine au pirated?
nina xp3 genuine! lakini zinazogoma leo nimeshawahi kuzitumia mara kadhaa, can it be an issue of genuiness?
 
hakuna sababu ya msingi mkuu, japo naona kama windows ni user's friendly hasa linapokuja suala la kuogeza programs mbalimbali!
User friendly myth!
Inakubidi u download ktk cyberspace with all virii around there and then install it. If any dependency, you have to install by your hand. In Linux you click icon in software center somehow and wait for it to finish.

Which one is user friendly?
If you can use Windows then you are able to use Linux better. Windows is complex than Linux!


nina xp3 genuine! lakini zinazogoma leo nimeshawahi kuzitumia mara kadhaa, can it be an issue of genuiness?
May be scratched!
 
May be scratched!

Mkuu CTO kama tatizo lingekuwa ndio CD...OS ingegoma ku install maana some files zingemiss na CD za OS zimekuwa designed zi install OS only and only if files zote zinazotakiwa ziwemo kwenye hiyo OS zipo. Lakini jamaa analalamika kuwa hata kama akifanikiwa ku-install OS bado PC yake inaleta shida.
 
Mkuu CTO kama tatizo lingekuwa ndio CD...OS ingegoma ku install maana some files zingemiss na CD za OS zimekuwa designed zi install OS only and only if files zote zinazotakiwa ziwemo kwenye hiyo OS zipo. Lakini jamaa analalamika kuwa hata kama akifanikiwa ku-install OS bado PC yake inaleta shida.
Inategemea na aina ya scratch. Inaweza kuliharibu kwa kiwango kidogo (mfano cabinet files) na baadae ikashindwa ku decompress. All in all ajaribu machine nyingine ili kutest kama issue ni CD au Machine/HDD
 
Mkuu CTO, ukifuatilia kwa makini mtoa maana kaeleza vizuri sana shida ya computer yake " lakini kwa muda sasa, nikijaribu ku-install windows (be it xp2, xp3, xp3 geneous or windows 7) inagoma kabisa. yaani inaweza anza loading files....100%
copying files.... 100%
restarts... (kama kawaida)
installing windows...
restarts... (hapa ina-stuck wakati ikianza kuonesha ile logo ya Windows 7)
"Je CD zote hizo alizonazo Xp2, 3 na Windows 7 zote zimepata matatizo ghafla?
 
Mkuu CTO, ukifuatilia kwa makini mtoa maana kaeleza vizuri sana shida ya computer yake " lakini kwa muda sasa, nikijaribu ku-install windows (be it xp2, xp3, xp3 geneous or windows 7) inagoma kabisa. yaani inaweza anza loading files....100%
copying files.... 100%
restarts... (kama kawaida)
installing windows...
restarts... (hapa ina-stuck wakati ikianza kuonesha ile logo ya Windows 7)
"Je CD zote hizo alizonazo Xp2, 3 na Windows 7 zote zimepata matatizo ghafla?

Hapana CD zake zinawezekana hazina shida. Kwa maana hiyo upande wa software nikiwa na maana OS CDs zake zinawezekana ni nzima kabisa. Hatua ya pili anatakiwa kubadili HDD na kutumia nyingine ambayo ana uhakika ni nzima. Endapo tatatizo litaendelea basi atoe RAM/DDR zote kwenye slots zake then apachike moja kisha aanze tena kupandisha Operating system au abadili kabisa aweke amabazo ana uhakika kwamba ni nzima ama amezitoa katika mashine ambayo ni nzima. Hilo nalo nilikataa option ya mwisho aangalie je Processor yake inafanya kazi vizuri, akitaka kujua kama inafanya kazi viziri awashe mashine then aguse heat sink na kuangalia kama inapata joto la kutosha. Kama joto lake sio la kutosha basi na efficiency yake itakuwa sio nzuri sana. pia anaweza akachukua jukumu la kubadili Processor alafu aendelee ku-install Operating System. Hope hapo atapata ufumbuzi.
 
Mhmmm!!! Kutokana na maelezo yako inaelekea your hard disk is dead. Badilisha hard disk nyingine na kila kitu kitakuwa sawa. Pia achana na software ambazo zinasababisha windows yako ku-crash...remember kadiri unavyozidi ku-format pc yako ndivyo jinsi unavyozidi kupunguza uhai wa hard disk yako.

Uko sahihi Mkuu, isipokuwa hapo kwenye red!
 
Nimesema hivyo kwa sababu some of the low level format they add bad sectors to bad sectors list

kama HDD ingekuwa imekufa window xp pro sp3 isinge ingia ila ili tatizo nimekumbana nalo kwa mara ya tano kwa pc tofauti na nimegundua kuwa baada ya kuformat sana pc HDD inaanza kubagua window na window ya kwanza kubaguliwa huwa ni 7 home pre alafu pro then 8 alafu ultimate ndio zinakuja hizi ndogo ndogo za vista na pro sp1 na 2 lakini 3 huwa inaingia na tatizo kubwa huanzia kwenye DVD rom kwasababu ni external naomba nikuulize swali huwa unatumia dvd yako kuangalizia movie za dvd esp alibaba na blu rays?
 
Hapana CD zake zinawezekana hazina shida. Kwa maana hiyo upande wa software nikiwa na maana OS CDs zake zinawezekana ni nzima kabisa. Hatua ya pili anatakiwa kubadili HDD na kutumia nyingine ambayo ana uhakika ni nzima. Endapo tatatizo litaendelea basi atoe RAM/DDR zote kwenye slots zake then apachike moja kisha aanze tena kupandisha Operating system au abadili kabisa aweke amabazo ana uhakika kwamba ni nzima ama amezitoa katika mashine ambayo ni nzima. Hilo nalo nilikataa option ya mwisho aangalie je Processor yake inafanya kazi vizuri, akitaka kujua kama inafanya kazi viziri awashe mashine then aguse heat sink na kuangalia kama inapata joto la kutosha. Kama joto lake sio la kutosha basi na efficiency yake itakuwa sio nzuri sana. pia anaweza akachukua jukumu la kubadili Processor alafu aendelee ku-install Operating System. Hope hapo atapata ufumbuzi.

asante mkuu dmayola ! kabla sijajaribu kutoa hizo ram naomba kujua, heat sink ndio sehemu gani? au kwenye yale matundu ya feni! kwa hii yangu naona inatoa upepo wa moto kwa kasi sana na inaheat pia! na kama tatizo ni processor naweza pata kwa bei gani mpya kama unajua please!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom