Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,605
- 5,192
Wakuu habari?
Ni duka gani hapa Bongo naweza kupata Vitanda vya kujifungulia akina Mama? Na ni kwa bei gani?
Nilikua ziarani kijijini kwa kweli nimeguswa sana kwa jinsi Mama na Dada zetu wanavyo taabika wakati wa kujifungua.
Tafadhali mwenye taarifa kamili naomba anijuze hapa. Nimetafuta sana maduka ya bidhaa hizi bila mafanikio.
Ni duka gani hapa Bongo naweza kupata Vitanda vya kujifungulia akina Mama? Na ni kwa bei gani?
Nilikua ziarani kijijini kwa kweli nimeguswa sana kwa jinsi Mama na Dada zetu wanavyo taabika wakati wa kujifungua.
Tafadhali mwenye taarifa kamili naomba anijuze hapa. Nimetafuta sana maduka ya bidhaa hizi bila mafanikio.