Degree ya culture and heritage.

Degree ya culture and heritage.

Miss Mbunda

Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
36
Reaction score
14
Habari zenu wanajamii forum!mimi natarajia kugadruate mwaka huu,na nnachukua degree ya culture and heritage.Naomba mnisaidie wanajamii kwa wanaoifaham hii koz,je nawez kuajiliwa kwenye mambo yahusuyo utalii na maliasili?
 
Habari zenu wanajamii forum!mimi natarajia kugadruate mwaka huu,na nnachukua degree ya culture and heritage.Naomba mnisaidie wanajamii kwa wanaoifaham hii koz,je nawez kuajiliwa kwenye mambo yahusuyo utalii na maliasili?
Kwanza
anayepaswa kufahamu kozi ni wewe unayesoma kwani ulichagua mwenyewe na unapaswa kujua vyote vinavyohusu kozi yako.
Pili
Suala la kuajiriwa kwa sasa halipo,labda ujipange ujiajiri kwa kufanya kazi yoyote halali.
 
Habari zenu wanajamii forum!mimi natarajia kugadruate mwaka huu,na nnachukua degree ya culture and heritage.Naomba mnisaidie wanajamii kwa wanaoifaham hii koz,je nawez kuajiliwa kwenye mambo yahusuyo utalii na maliasili?
Ulisoma shahada bila ya kujua utafanya nini? Hiyo siyo credit sana.. Ukiwa na shahada unaweza kufanya chochote. Naamini wewe ni generation - Y, generation inayo 'tesa' wakati huu.. Hiyo shahada unaweza kuingia utalii, maliasili, michezo na utamaduni. Kwenye Red- katika kutafuta kazi kuna kitu wanaita 'attention to detail' - inabidi uwe makini maana unakosa hii kitu.. Barua yako ya kazi inaweza kushindwa kufikia shortlist ya mwanzo.. Good luck.
 
duuh kwan hii course ulilazimishwa kuchukua, na ujafanya field mpaka usijue sehemu ya kuajiriwa, hapo tafuta mtaji tu uje uchonge vinyago utaitendea haki course yako ukisubiri kuajiriwa jua la utosi litakuwa lako..!!!
 
we malizia kwanza kuGADRUATE afu ndo uje mtaani
 
Maliza kwanza Shahada ila jiandae kujiajiri badala ya kusubiri kuajiriwa....goodluck
 
Degree nyingne bana!ungesoma zako education sa hzi ungekua hata huwaz..asa hzo degree za kwenda kuchonga vinyago kama mmakonde,si matatizo tu hayo umejitakia!
 
Unasoma chuo gani? Cha kata nini? Maana wengi wao ndo hawajui kwa nni wanasoma pale na kozi hizo! Pole sana. Ila ukiGADRUATE tafuta viatu vyenye soli ya matairi kama ya masai!.kila la heri miss..
 
Mimi nina wasiwasi na` degree za siku hizi`,uko mwaka wa mwisho na bado hujui unasomea nini?
 
Back
Top Bottom