Infopaedia
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,231
- 1,487
Watanzania bado tuna safari ndefu sana. Kuna watu wanakuja Jf wanauliza "Nisome course gani inayolipa?". Then unaona kuna great thinkers na wenye mashahada wanamshauri, "chukua course fulani au fulani inalipa sana". Yaani ni vituko sababu wanaomshauri hivyo ni wale wasomi. Inasikitisha kwamba wanaoshauri ni kundi la watu wanaotegemewa kukwamua wengine. Hakunaga kitu kinacholipa au kisicholipa. Kama chuoni umeingia kwa kutanguliza wrong foot, utakuja mtaani na kuanza kulalamika. No wonder unakimbilia ubunge na kuwaambia wenzako wajiajiri. Wazee, pesa haikimbizwi....hutoipata utaanza kutafuta wachawi na utaishia kuleta mijadala kama hii. Pesa inavutiwa. Ukiyaelewa mazingira yako unaji-magnetize na ku-attract money. Usisahau hiyo kanuni. Successful people wote hawakui-chase pesa. Walii-attract pesa.