Defining, Refining and Understanding Zitto Kabwe

Sasa Cpt Hadock, nini hitimisho lako?


Mchungaji,
Jibu hapa ni hakuna. Alitakiwa mtu/kampuni inayoweza kufua umeme na sheria ya manunuzi (ambayo huyu fisadi mgebuka Zito alitakaifutwe) ipo na ndivyo inavyotaka. Kwa sababu tu ya jeuri,dharau, ujinga na everything you name tukaishia hapo tulipo. Yaleyale ya rada na ndege ya rais
 

Tumpe Urais katika mfumo huu butu na mbovu uliobapa? Tumpe urais huku hana wasaidizi wa kutosha Bungeni?

Je atuletee mabadiliko kwa kuwa Rais tuu kwa kutumia Udikteta na si kutokana na mfumo bora wa Kisiasa ambao utazaa Viongozi wazuri na kuhamasisha utendaji kazi?
 

I am bussy, but will come back to you SOOOON. Pamoja na haya pia nitazungumzia "MAPANA YAKE" suala la the so called Zittos Rants on wachaga ambalo kwa makusudi mazima mmendelea kulikuza mkidhani mnamharibia yeye kumbe mnajimaliza wenyewe. Administrator naomba ukae pembeni kama ulivyoacha haya.....

omarilyas
 
Omar

Achana na mambo ya CHADEMA waachie wenyewe kama sio mwanachama. Labda wameamua hivyo kukaa hivyo, au anzisha chama chako na Zitto bila shaka atakushauri au kukufuata. Unatachanyia habari pasipo sababu.

Tenganisha urafiki wako na Zitto na shughuli za CHADEMA.
 
Memories like goldfish! Mmesahau alishiriki katika 'kumtenda' Chacha Wangwe!!! Whatever that was supposed to mean....hahahaha!
No hard feelings Mh Zitto...just an observation i made in your posts!
 

Hah hah hah hah'

Omar unaanza kugombana na refs. Admin ameachia nini? kwani ni uongo kwamba jina lako la zamani lilikuwa Tanzanianjema? Hii wala sio siri na hakuna sheria za JF zilizovunjwa.

Ingawa kuna njia nyingi za kujua watu hapa JF hata kama wakibadili nicks kiasi gani, haiitaji nguvu nyingi sana kujua kuwa omarilyasi ndiye zamani alikuwa akijulikana kama tanzanianjema.

Ukibonyeza tu historia ya mabandiko yako hapa hilo jina la tanzanianjema litakuja zaidi ya mara moja. Kama unabisha nipe muda kidogo nikuoneshe hapa.

Kama unataka kucheza rafu wewe cheza tu na wala usisingizie chochote. By the way, mbona mulishaanza? Waberoya kaniita mimi ni kizee cha kichaga, Zitto kasema kuwa mimi ni mbunge mwenzake, na wewe umesema kuwa mimi ni mdogo wako. Kuna jipya lolote utakaloleta?

Omar, Kwa sababu umaarufu wa Zitto uko juu (kiaina) sasa hivi, usidhani kuwa nyie ndio mnajua kila kitu kinachoendelea Tanzania. Kuna mengi tu yanajulikana na wengi tu ila ni heshima za JF na heshima binafsi kwa Zitto ndio maana hayasemwi hapa.

Wewe leta lolote utakalo mkuu ila jambo moja ujue ni kuwa - mbinu zako za kudumaza chadema na upinzani Tanzania kutokea ndani zilishagundulika siku nyingi sana. Chagua upande mkuu!.
 

Omar sio mwanachadema,

Bado hajui awe upande gani - ccm au upinzani.
 

Omary, kuwa makini na unayoyaandika hapa na jua kuwa huyo kiranja sio mimi .Mimi nikiingia hapa natumia jina langu na nina jina moja tuu sasa wewe kwa sababu zako unataka kuwahusisha wote na mimi ,

Jua kuwa mimi ni responsible na naandika kile ninachokiamini sasa wewe kama umeshughulikiwa usitake kutafuta mchawi ila jiulize , sitaki kuingia kwenye malumbano na wewe tena yasiyokuwa na tija kama haya unayotaka kuyaanzisha na mimi hapa.

Nakuheshimu ila usinihusishe na watu ambao mimi siwajui. BE RESPONSIBLE ACHA KUTAPIKA MAANDISHI YA HOVYO DHIDI YANGU.
 
Hivi what is wrong with these guys.......Kiranja, Omarlyasi,Mwafrika,Mpaka Kieleweke and Zitto on the other hand......?

These guys seem to know one another quite well! Anzisheni chama chenu or kama mpo chama kimoja gawane chama hicho then kila upande ulete upinzani wa kweli kwa manufaa ya nchi nzima!
 
Self-assured! ninaweza kumkubali kwa hili na hata kama anachokiamini si sahihi kwa wengi. Nadhani ni vizuri mtu mmoja kusimamia unachokiamini kuliko kupelekwapelekwa na na wala watu wakashindwa kukutambua wewe ni nani.

Ninadhani kuna haja ya kujua kama kweli watu wanaofikiria sawasawa ni wanachama wa CCM



Yana Mwisho' SHAFI
 

NL,

Naona unataka kuchanganya madawa.

Kuna makasa kibao yamechanganywa kwenye madesa yanayotumiwa (lugha ya vijana wa mlimani) na miongoni mwa watu uliowataja hapo juu.

Mimi binafsi sijasema kama namjua Kiranja na Mpaka kieleweke hapa JF. Naweza kudhani kuwa nawafahamu, but, until wamejitambulisha wenyewe hapa, hizi zitabaki hisia tu.

Omar kakoroga mambo kwa kusema kuwa Kiranja ndiye Mpaka kieleweke. Jambo ambalo sio tu kuwa hana uhakika nalo, bali pia, ni kinyume cha sheria za JF.

Zitto kalishwa kasa kwa kudhani kuwa mimi ni mbunge mwenzake ndani ya chadema (kitu ambacho Omar anasisitiza kwa kuniita mimi kuwa ni mdogo wake wa kike ndani ya chadema).

Zitto na Omar Ilyas wanatumia majina yao halisi kwa hiyo haikuhitaji sayansi ya maroketi kuwatambua hapa jamvini. Tafadhali usichanganywe na misinformation zinazotolewa hapa na Omar hapa kuhusu wanachama wa JF ambao hawajajitambulisha hapa kwa majina yao halisi.

Huu ni mchezo anao ucheza Omar kwa kudhani kuwa anamsaidia rafiki yake Zitto. Otherwise, mimi nilishajua anachokicheza Omar hapa - anataka sana kuivuruga chadema kutokea ndani. Soma sana anachoandika na utaiona hii nia yake kwa uwazi zaidi.
 


Too low and personal!
 
how low and how personal?

Just read the posting you will figure it out!. Mtu akienda personal sio lazima na wewe uende personal. Tutashindwa kuwatofautisha.

Anyway umeme umekatika hapa Mbagala. Kwaheri
 
Just read the posting you will figure it out!. Mtu akienda personal sio lazima na wewe uende personal. Tutashindwa kuwatofautisha.

Anyway umeme umekatika hapa Mbagala. Kwaheri

mhh .. umeme umekatika
 
Zitto,

I still have confidence on you but siasa zako zinanitia mashaka. zinaweza wengine wakakuzidi maarifa then mkaharibikiwa na itakuwa shida kwetu sisi waumini.

Jana nilipita pale Katoro na nikaenda mbele mpaka Lwamgasa. wakati napata BALIMI yangu sikusita kuulizia kuhusu uchaguzi wa ubunge na wa mitaa. Situation is promising na Finias amefanya vizuri but wenyewe wanajilaumu sana kwa kutojiandikisha.

Nimeona tume imetangaza magazetini kuwa wameanza ku-update daftarti. Je, CHADEMA mnampango wa kuhamasisha watu wakajiandikishe based on situtation they have. Kwamba why kujiandikisha na wasisahau kuwa watapigia kura pale? Ule mpango wa kuwachangia kwa kutumuia sms umeishia wapi?

Samahani Mchungaji kudandia jukwaa lako.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…