Decoder ipi nzuri kati ya hizi

Decoder ipi nzuri kati ya hizi

decoder gani naweza kutumua bila kuweka msongamano wa maantena nje?
 
Kaka kwa sasa bila upendeleo AZAM TV ya kwanza na kama unataka machanneli mengi ya movies series za kibongo na Kichina UEFA EUROPA LALIGA LIGUE 1 SERIE A YA UHOLANZI basi wachukue StarTime ya DISH wamekuwa vizuri sana siku hizi aisee
 
Kaka kwa sasa bila upendeleo AZAM TV ya kwanza na kama unataka machanneli mengi ya movies series za kibongo na Kichina UEFA EUROPA LALIGA LIGUE 1 SERIE A YA UHOLANZI basi wachukue StarTime ya DISH wamekuwa vizuri sana siku hizi aisee

star times wanaonyesha La LIGA?
 
Yeah ila ni baadhi ya mechi tu kupitia starsport 2 na Fox Sport 2

AZAM wana wana Fox sport moja tu ila StarTimes wanazo Fox Sports mbili (1&2)
 
Back
Top Bottom