Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,556
- 4,162
Nafikiria kununua decoder ya TV but najiuliza nichukue ipi maana hawa wanaotumia antenna (star times digtec....)wapo baadh ya maeneo na wana picha nying za ndan, pia signal zao sio nzuri saaana.
Hawa wanaotumia dish(zuku azam dstv)signal ziko poa lakn hawana picha nying za ndani.
Hapa kama unajua mwenye picha nying za ndan nijulishe plz
Hawa wanaotumia dish(zuku azam dstv)signal ziko poa lakn hawana picha nying za ndani.
Hapa kama unajua mwenye picha nying za ndan nijulishe plz