Pole sana LilSun, ila ni kuwa hawakuwa wanalazimisha!
Pili ni wajibu wetu sote katika jamii kulindana na kutokuwa bize katika mambo yetu binafsi, DECI iko siku nyingi sana kila aina ya watu walishiriki na inapotokea kamba inakatikia pembamba kawaida kuna maumivu
Wakati unalia DECI mbaya kuna watu wamevuna mamilioni sijui kama watakuelewa sentensi yako--swala zima ni kama gambling
kuna watu wamejenga nyumba , wakati kuna huyo analia, huoni kama kuna haja ya kulitazama hili swala in 3D kuliko kulalia upande mmoja??
personally si-support DECI lakini inatakiwa kuwe na haja ya kuangalia ni nini kifanyike kuwaokoa hawa walioumizwa, DECI zipo kila siku kiaina ila hatupigi kelele!
ushauri wangu ni wawe wanaunda vyama vitakavyokubalika kisheria, viwe imara na endelevu hata vizazi vya hao members ili LOOP inapokatika asilie mtu
kwa kifupi DECI ni LOOP isiyoisha! wanaofaidika ni wale wa mwanzoni!