DECI itamuua baba yangu kwa presha

DECI itamuua baba yangu kwa presha

KABOCHO

Member
Joined
Feb 4, 2017
Posts
47
Reaction score
36
  • wakuu mwenye taarifa yeyote Kuhusu DECI tafadhali tujulishane maana mzee wangu alipanda fedha nyingi huko na serikali iliahidi kufanya utaratibu watu warudishiwe fedha zao, Lakin naona Kimya, na mzee hatak Kusahau kila akikumbuka presha inapanda. Mwenye updates zozote please
 
Dah hiyo deci iliniliza na mm sina hamu nayo yaani we acha tu,ukisikia wanaanza kulipa uni PM mkuu
 
Anayeisubiri malipo ya fedha za DECI hana tofauti
na anayesubiri meli Morogoro.
 
Back
Top Bottom