PreGE2025 Debora Tluway: Hatusitishi Uchaguzi, Oktoba Lazima Tutiki

PreGE2025 Debora Tluway: Hatusitishi Uchaguzi, Oktoba Lazima Tutiki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
3,119
Reaction score
1,429

DEBORA TLUWAY: HATUSITISHI UCHAGUZI OKTOBA LAZIMA TUTIKI

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Debora Tluway amewataka Wananchi kuendelea kuendelea kujiandaa Kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kuhakikisha wanakipa Chama Cha Mapinduzi kura za kishindo.

Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Inyoga, Mlele 11 Juni, 2025 katika Ziara ya Siku Saba za Kibabe ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida katika Mikoa ya Katavi, Rukwa na Mpanda iliyoanzia katika Mkoa wa Katavi.

Vijana Tunasema
OKTOBA TUNATIKI✅✅✅

#KaziNaUtuTunasongaMbele
#TunazimaZoteTunawashaKijani
#OktobaTunatiki✅✅✅
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2025-06-12 at 13.33.33.mp4
    9.3 MB

DEBORA TLUWAY: HATUSITISHI UCHAGUZI OKTOBA LAZIMA TUTIKI

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Debora Tluway amewataka Wananchi kuendelea kuendelea kujiandaa Kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kuhakikisha wanakipa Chama Cha Mapinduzi kura za kishindo.

Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Inyoga, Mlele 11 Juni, 2025 katika Ziara ya Siku Saba za Kibabe ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida katika Mikoa ya Katavi, Rukwa na Mpanda iliyoanzia katika Mkoa wa Katavi.

Vijana Tunasema
OKTOBA TUNATIKI✅✅✅

#KaziNaUtuTunasongaMbele
#TunazimaZoteTunawashaKijani
#OktobaTunatiki✅✅✅
No reforms, No elections.
 

DEBORA TLUWAY: HATUSITISHI UCHAGUZI OKTOBA LAZIMA TUTIKI

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Debora Tluway amewataka Wananchi kuendelea kuendelea kujiandaa Kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kuhakikisha wanakipa Chama Cha Mapinduzi kura za kishindo.

Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Inyoga, Mlele 11 Juni, 2025 katika Ziara ya Siku Saba za Kibabe ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida katika Mikoa ya Katavi, Rukwa na Mpanda iliyoanzia katika Mkoa wa Katavi.

Vijana Tunasema
OKTOBA TUNATIKI✅✅✅

#KaziNaUtuTunasongaMbele
#TunazimaZoteTunawashaKijani
#OktobaTunatiki✅✅✅
Hawa nivijana failure kabisa katika wale wanachama wenu mnaosema 13 million je vijana wako wangapi? Kwnaini vijana wa yuvisisiemu mmeshindwa kuitangaza hiyo kampeni yenu mitandaoni mkashsmbulia nakufikisha ujumbe wenu mnaoamini mtatiki? Jibu la haraka ni kua wengi kati yenu mnaamini kabisa katika mabadiliko ndio mana mnaogopa kupost hata hizo tunatiki kwa wingi

No reform No Election ni yetu sote
 

DEBORA TLUWAY: HATUSITISHI UCHAGUZI OKTOBA LAZIMA TUTIKI

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Debora Tluway amewataka Wananchi kuendelea kuendelea kujiandaa Kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kuhakikisha wanakipa Chama Cha Mapinduzi kura za kishindo.

Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Inyoga, Mlele 11 Juni, 2025 katika Ziara ya Siku Saba za Kibabe ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida katika Mikoa ya Katavi, Rukwa na Mpanda iliyoanzia katika Mkoa wa Katavi.

Vijana Tunasema
OKTOBA TUNATIKI✅✅✅

#KaziNaUtuTunasongaMbele
#TunazimaZoteTunawashaKijani
#OktobaTunatiki✅✅✅
 

Attachments

  • IMG-20250611-WA0007.jpg
    IMG-20250611-WA0007.jpg
    93 KB · Views: 21
Kwa ababu tanzania inamilikiwa na familia, ok sawa tumekusikia
 

DEBORA TLUWAY: HATUSITISHI UCHAGUZI OKTOBA LAZIMA TUTIKI

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Debora Tluway amewataka Wananchi kuendelea kuendelea kujiandaa Kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kuhakikisha wanakipa Chama Cha Mapinduzi kura za kishindo.

Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Inyoga, Mlele 11 Juni, 2025 katika Ziara ya Siku Saba za Kibabe ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida katika Mikoa ya Katavi, Rukwa na Mpanda iliyoanzia katika Mkoa wa Katavi.

Vijana Tunasema
OKTOBA TUNATIKI✅✅✅

#KaziNaUtuTunasongaMbele
#TunazimaZoteTunawashaKijani
#OktobaTunatiki✅✅✅
Kumba wanatiki... Hawafanyi uchaguzi wala kupiga kura? Kura ni zaidi ya kutiki!
 
Back
Top Bottom