Death by a thousand cuts

Death by a thousand cuts

YOU LIVE IN DELUSION,it seems you have or cant have what is known as ABSTACT REASON, too sorry for you,or maybe ccm sent you to throw such useless allegations here
 
Hahaha, unanitoa kwenye mstari kunitajia Huey.

Boondocks kuna Babu linapenda wazungu kuliko Mkenya anayefanya kazi hoteli ya watalii.

Uncle Ruckus.

Saa zingine nikifikiria matatizoya nchi yetu huwa nafikiria Benjamin Mkapa ni Uncle Ruckus wa kisirisiri.
Mkapa na hasira zake akisoma hii post nakufanikiwa kuconnect the dots bila shaka atakula sahani moja na wewe. Hahaha
 
Wanachokosea vyama vingi hasa vya upinzani ni kuamini kuwa hawapaswi kukosolewa.Kila anaekosoa anaonekana analipwa na CCM.Bado hawaja chelewa wanapaswa waombe msamaha na wajsahihishe.Walichokifanya 2015 malipo yake ni sasa.Ukiitafakari kauli ya Dk.Slaa ambae alibatizwa jna la Dk mihogo,Utajua aliona mbali.Tatzo watanzania wengi pia hatuamin katika kukosolewa.Bado sijaamin kama CHADEMA inaenda kufa maana bado sijaona mbadala wake.
 
Wanachokosea vyama vingi hasa vya upinzani ni kuamini kuwa hawapaswi kukosolewa.Kila anaekosoa anaonekana analipwa na CCM.Bado hawaja chelewa wanapaswa waombe msamaha na wajsahihishe.Walichokifanya 2015 malipo yake ni sasa.Ukiitafakari kauli ya Dk.Slaa ambae alibatizwa jna la Dk mihogo,Utajua aliona mbali.Tatzo watanzania wengi pia hatuamin katika kukosolewa.Bado sijaamin kama CHADEMA inaenda kufa maana bado sijaona mbadala wake.

They get so defensive when criticized!
 
Death by a thousand cuts is what the ‘main’ opposition party, CHADEMA, is going through right now.

The steady drip drip of defections...a councilman/ councilwoman here, an MP there, is what eventually will lead to CHADEMA’s waterloo.

A painful demise right in front of our very eyes.

But tell that to the ‘few’ remaining party stalwarts and they’ll make a beeline for your windpipe.

These people are so rabid, so delusional, so deep in denial that it renders it almost impossible to reason with them.

They label anyone who dares to criticize their party or their ‘Dear Leader’ as being on CCM’s payroll.

To them, their ‘Dear Leader’ is above criticism. He is sacrosanct.

Some of us don’t operate like that, though. To us, no one is above criticism and no one is below praise.

If you do good, we’ll praise you. If you eff up, we’ll call you out.

Sad to see CHADEMA end this way.

Once upon a time they carried the hopes of so many Tanzanias, myself included.
Ng'wana Kilasa hii lugha ni nzuri sana kuitumia maana inapunguza matusi ya kina sisi tusioielewa ipasavyo. Next time tumia ile ya kwetu Mwarugesha
 
Mkuu

Wewe ni muandishi mzuri wa kiswahili na huwa nafurahia kiswahili chako.....

Ungeleta bandiko hili kwa kiswahili ingepeza zaidi...na ingewapa watu wigo mpana wa kuchangia na kuchambua!!!...
Wenye matusi wangetuharibia hali ya hewa bora hii lugha kusudi wenye akili na mawazo mazuri wachangie siyo wenye matusi
 
The good answer is feel sorry for yourself as Jesus told the women of Jerusalem. Me say
Mkuu wewe ni ME au KE? Maana kwa shobo hizo kila mtu una mquote inaonekana unashoboka sana kiduanzi. Kama sio unataka kuolewa na mleta mda ili ukaishi nae USA mkabebe box basi utakua unataka mume hapa hapa bongoland akuhudumie mahitaji yote ya mwanamke.

Acha shobo dundo zakiwaki.
 
Mkuu wewe ni ME au KE? Maana kwa shobo hizo kila mtu una mquote inaonekana unasoboka sana kiduanzi. Kama sio unataka kuolewana mleta mda ili ukaishi nae USA mkabebe box basi utakua unataka mume hapa hapa bongoland akuhudumie mahitaji yote ya mwanamke.

Acha shobo dundo zakiwaki.
Ndiyo maana aliandika kwa lugha ngumu kwako sasa umetoka kwenye box maana tumeanza kuongea lugha uijuayo.... Aibu sana kwa watu wazima kuitumia mitandao ya jamii kutukana. Wacha Magu awafundishe adabu maana mlikosa adabu. USA niende mara ngapi wakati ndiyo kwetu umeacha kumalizia USA River
 
Kinachoshangaza sana ni kwamba wanaccm wengi ndiyo wanaoumia zaidi na kufa kwa chadema badala ya kushangilia sasa watakuwa wanashinda kirahisi tu au mnataka muendelee kuwakata mapanga wenzenu kwenye uchaguzi ?
 
Mkapa na hasira zake akisoma hii post nakufanikiwa kuconnect the dots bila shaka atakula sahani moja na wewe. Hahaha

Hahahaaa.

Lazima amwambie Jiwe anipe ulaji kunifunga mdomo haraka sana kwa sababu akimwaga mboga mimi namwaga ugali kwa nyeti za ndani kabisaaa kuliko zilizopatikana kwenye Panama Papers.
 
A new CHADEMA will soon arise. It will be strong and fierce opposition and the ultimate replacement of CCM. Every one will marvel at its greatness.
 
Hivi TLP.NCCR. je vimewahi fikia mafanikio ya Chadema?

Vyama hivyo vilikufa kwa kuchokwa na wananchi na viongozi wake kuwa pandikizi za ccm.
Kinachofanyika sasa ni manunuzi ya wabunge ambayo wananchi wamejua.ni tangazo lisilouza tena.

Nakuambia dhahabu lazima ipite motono ili iongeze thamani.
Chadema itaibuka kidedea
 
Hahahaaa.

Lazima amwambie Jiwe anipe ulaji kunifunga mdomo haraka sana kwa sababu akimwaga mboga mimi namwaga ugali kwa nyeti za ndani kabisaaa kuliko zilizopatikana kwenye Panama Papers.
Hahhaha... Mzee anajua kupanga hoja hata kama ni uwongo au umesahau kilichomtokea mwaandishi wa BBC Hard talk
 
Death by a thousand cuts is what the ‘main’ opposition party, CHADEMA, is going through right now.

The steady drip drip of defections...a councilman/ councilwoman here, an MP there, is what eventually will lead to CHADEMA’s waterloo.

A painful demise right in front of our very eyes.

But tell that to the ‘few’ remaining party stalwarts and they’ll make a beeline for your windpipe.

These people are so rabid, so delusional, so deep in denial that it renders it almost impossible to reason with them.

They label anyone who dares to criticize their party or their ‘Dear Leader’ as being on CCM’s payroll.

To them, their ‘Dear Leader’ is above criticism. He is sacrosanct.

Some of us don’t operate like that, though. To us, no one is above criticism and no one is below praise.

If you do good, we’ll praise you. If you eff up, we’ll call you out.

Sad to see CHADEMA end this way.

Once upon a time they carried the hopes of so many Tanzanias, myself included.
This is nonsense. You're wishes will never experienced!
 
Back
Top Bottom