Dear Miss Leejay49

Mkuu umeongea point na ndio ukweli wenyewe. Madogo tantalila nyiiingi, ila hawana ujasiri wa kwenda PM. Wanazuga ni utani, lakini wanamaanisha
 
Mimi ni ME niliyeanzisha huu uzi, Na nimeanzisha kwa matakwa yangu mwenyewe, na Sipo Desperate hata kidogo kwa sababu Siku zote huwa nachukulia mambo kwa njia yenye usawaziko. Maoni yako siyaheshimu na wala siyakubali.
Wewe ni wakiume, ila sio mwanaume. Sifa kubwa ya mwanaume ni kujiamini na kujuathamani ya uanaume wake.

Ungekuwa unajiamini ungeenda pm, ila kuja kubwabwaja hapa ni kama vile unajihami. Acha ufala dogo. Think and behave like a real man. Na sio unakata viuno kama ndemwa
 
Sio huyu walio wengi humu ni either watoto au waoga sana, hii kujichekesha ndio huwa last option kwao ukiwabana kama hivi ndio anakimbilia kusema usichukulie serious, wakati migenye inamsumbua ana stress za mahusiano kama zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…