Dear Miss Leejay49

Dear Miss Leejay49

Sema jf Me and Ke mpo desperate sana na mahusiano mpo na stress nyingi za mahusiano kitu nimetoka kuwaambia huko selfika, alafu hii ilipaswa uandike hivi mkishakubaliana sio unamtamani unaandika hivi. Naye sababu yupo desparate atakuja hapa kucheka cheka

Huu ni utoto na ulimbukeni
Najua mnakimbiliaga kusema "natania", huwa hakuna utani unamaanisha ni vile hujiamini
 
Sema jf Me and Ke mpo desperate sana na mahusiano mpo na stress nyingi za mahusiano kitu nimetoka kuwaambia huko selfika, alafu hii ilipaswa uandike hivi mkishakubaliana sio unamtamani unaandika hivi. Naye sababu yupo desparate atakuja hapa kucheka cheka

Huu ni utoto na ulimbukeni
Najua mnakimbiliaga kusema "natania", huwa hakuna utani unamaanisha ni vile hujiamini
Mimi ni ME niliyeanzisha huu uzi, Na nimeanzisha kwa matakwa yangu mwenyewe, na Sipo Desperate hata kidogo kwa sababu Siku zote huwa nachukulia mambo kwa njia yenye usawaziko. Maoni yako siyaheshimu na wala siyakubali.
 
Sema jf Me and Ke mpo desperate sana na mahusiano mpo na stress nyingi za mahusiano kitu nimetoka kuwaambia huko selfika, alafu hii ilipaswa uandike hivi mkishakubaliana sio unamtamani unaandika hivi. Naye sababu yupo desparate atakuja hapa kucheka cheka

Huu ni utoto na ulimbukeni
Najua mnakimbiliaga kusema "natania", huwa hakuna utani unamaanisha ni vile hujiamini
Mkuu unapiga kwenye mshono😁
 
Mimi ni ME niliyeanzisha huu uzi, Na nimeanzisha kwa matakwa yangu mwenyewe, na Sipo Desperate hata kidogo kwa sababu Siku zote huwa nachukulia mambo kwa njia yenye usawaziko. Maoni yako siyaheshimu na wala siyakubali.
Usijihami hakuna nimesema maoni yangu uyakubali.
Hii hatua hufikiwa na mtu ambae anatamani mahusano, ana stress za mahusiano ana genye ya hali ya juu. Utakataa hapa kuzuga lakini ukweli unaujua

Tulizeni kichwa, huwa ni kama hampo sawa mahangaiko yote ya nini haya?
 
Usijihami hakuna nimesema maoni yangu uyakubali.
Hii hatua hufikiwa na mtu ambae anatamani mahusano, ana stress za mahusiano ana genye ya hali ya juu. Utakataa hapa kuzuga lakini ukweli unaujua

Tulizeni kichwa, huwa ni kama hampo sawa mahangaiko yote ya nini haya?
Sasa utanipangia cha kupost Mkuu ? Shida yako ni nini ? Mbona kama umeingia na hasira ambazo hazina sababu ? Halafu Wewe ni PhD holder halafu unakuwa na mitazamo ya hovyo nimekushusha thamani na hiyo PhD yako. Jifunze kuwa na utulivu wa akili na mawazo. Hata ukiangalia hii thread yangu ni wapi imeonyesha kama nimeelekeza hisia za mahusiano kwa huyo Mlengwa niliyemwanzishia huu uzi.
 
Achana nae huyo sioni siku hizi akifuatana na Lamomy kama Kumbikumbi sijui kashajikatia tamaa au amechukulia mambo ya JF serious ameamua kuchukia mazima mpaka anakuja na reply yenye povu kama sabuni ya magadi.
Mm reply zangu siku zote kwenye ya hivi huwa kama ulivyosoma labda umeniona leo.

Kuhusu lamomy hilo we achana nalo hutajua lolote

Nilijua utakimbilia kusema tusichukulie serious, NI UONGO. Hili huwa ndio chaka lenu
Akisema njoo tuzungumze utasema nilikua natania?
 
Mm reply zangu siku zote kwenye ya hivi huwa kama ulivyosoma labda umeniona leo.

Kuhusu lamomy hilo we achana nalo hutajua lolote

Nilijua utakimbilia kusema tusichukulie serious, NI UONGO. Hili huwa ndio chaka lenu
Akisema njoo tuzungumze utasema nilikua natania?
Mkuu pole sana yaani Wewe ni empty sana, nilionaga sehemu unamponda Roma Mkatoliki sasa Wewe unapenda kusikia au kusoma unayoyataka wewe tu ? Badirika Mzee 😂 😂 😂 😂
 
Sasa utanipangia cha kupost Mkuu ? Shida yako ni nini ? Mbona kama umeingia na hasira ambazo hazina sababu ? Halafu Wewe ni PhD holder halafu unakuwa na mitazamo ya hovyo nimekushusha thamani na hiyo PhD yako. Jifunze kuwa na utulivu wa akili na mawazo. Hata ukiangalia hii thread yangu ni wapi imeonyesha kama nimeelekeza hisia za mahusiano kwa huyo Mlengwa niliyemwanzishia huu uzi.
Hakuna sehemu nimekupangia, mm natoa maoni kulingana na nachosoma. Nikikiona kizuri naunga mkono, nikiona cha hovyo nakuchana. Ukichukia ni sawa. Huwa sinaga hasira bali mm huwa bold kwenye jambo naona la hovyo

Mm sio PhD holder na sijawahi hata kufikiria kufika huko kama umenifananisha hiyo ni juu yako, hiyo degree yenyewe tu sina. Nina Diploma tu
 
Back
Top Bottom