Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,149
- 43,093
- Thread starter
-
- #281
Yaani Wewe Jamaa ni kiazi sana, na Sipendi hata kujibizana na Wewe una tabia za hovyo hovyo naonaga hata comments za Mabinti humu huwa una criticise sana una shida gani Wewe ? Alafu eti na Wewe una ndoto ya kuja kuwa President wa Tanzania? Badirika Mzee Punguza tabia za hovyo kama huwezi na hupendi jambo likaushie tu sio unakuja na kuelekeza nini kifanyike. Halafu ipo hivi WEWE UNAPOSEMA MIMI NIKO DESPERATE NA WEWE NDIO UPO DEPERATE PRO. Kwani kum Compliment Member humu shida iko wapi ? Nilishawahi kuwaandika Member humu kutokana na michango yao na mitazamo yao mbona hukuingilia?Anasema nisichukulie serious, ikitokea leejay akasema naomba tuongee pembeni na akasifu alichofanya wakae wayajenge atakataa??
Huyu yupo desparate anatafuta pa kuangukia
Lamomy huyu Baby wako ni Andazi na hauna Baby hapana Mwambie aache gubu. π€£π€£π€£π€£