Dear Miss Leejay49

Anasema nisichukulie serious, ikitokea leejay akasema naomba tuongee pembeni na akasifu alichofanya wakae wayajenge atakataa??

Huyu yupo desparate anatafuta pa kuangukia
Yaani Wewe Jamaa ni kiazi sana, na Sipendi hata kujibizana na Wewe una tabia za hovyo hovyo naonaga hata comments za Mabinti humu huwa una criticise sana una shida gani Wewe ? Alafu eti na Wewe una ndoto ya kuja kuwa President wa Tanzania? Badirika Mzee Punguza tabia za hovyo kama huwezi na hupendi jambo likaushie tu sio unakuja na kuelekeza nini kifanyike. Halafu ipo hivi WEWE UNAPOSEMA MIMI NIKO DESPERATE NA WEWE NDIO UPO DEPERATE PRO. Kwani kum Compliment Member humu shida iko wapi ? Nilishawahi kuwaandika Member humu kutokana na michango yao na mitazamo yao mbona hukuingilia?
Lamomy huyu Baby wako ni Andazi na hauna Baby hapana Mwambie aache gubu. 🀣🀣🀣🀣
 
Manyanza hi πŸ‘‹ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Jambo likishakuwa public linanihusu

Sijajibu kwa jazba, bali nimejibu kitu hujakipenda

Ningekuja kwa shangwe sana kama wengine hapo ungefurahi.
Siandiki jambo ili nifurahiwe kwa sababu kila mtu ana mtazamo wake, kilichonikera ni Wewe ni kuni attack mojamoja kwamba niko Desperate umenichefua sana aiseee. Jifunze sana kuwa na tafakuri ya mambo sio kukurupuka na mihemko kama Mbuzi aliyefunguliwa asubuhi kutoka Bandani.
Nime Compliment Miss Leejay49 kwa muono wangu sijaingiza hata neno la kumtongoza au kuandika neno lenye kiashiria cha Mapenzi.
 
Unajuaje PM Sijaenda ? Alafu na Wewe ni Andazi tu kama huyo Kantri Waidi, kum Compliment Mtu ni vibaya? au Kiingereza hujui ? Jaribu kusoma vizuri kama utaona nimeandika maneno ya kumtongoza huyu nilimwanzia huu uzi. Yaani Vijana wa humu ni wa hovyo sana. Mbona hata GENTAMYCINE kipindi kile alikuwa anampigia kampeni apewe Umalikia wa JF alikuwa anamtaka ?
 
Soma hii comment Andazi wewe Countrywide
 
Wajinga hawa madogo
Yes Mimi ni mdogo wako Ki umri lakini, Wewe ni wa hovyo sana aiseee, nashangaa huu uzi umekuletea shida. Huu uzi hauna theme ya kumtaka kimapenzi Miss Leejay49 ia ni Compliment zangu tu kumuelekea Yeye anapo shiriki humu JF. Lakini Wewe na Ujinga wako wa kuacha kuwahudumia Wananchi wa Kibaha umekuja na Negativity zako zisizo na kichwa wala miguu, Nimekudharau sana aiseee
 
Mkuu ERoni umenena kweli huyu Countrywide ni Andazi tu. Na huu uzi kwangu ni Compliment tu. Lakini nashangaa amekuja na kuanza kuandika ujinga kanikera sana.
 
Wewe na huyo genta wote akili hamna, ndio maana mnabwabwaja tu. Hapo ulikuwa unampa compliment au unamwaga sera zako? Acha ufala mbwa wewe. Mwanaume hutakiwi kuwa na shobo zisizokuwa na mipaka.

Nina uhakika 100% kwamba PM hujaenda maana courage hiyo. Na mngebahatika kukaona hako kalily kenyewe mnakokaanzishiaga nyuzi, mngetuliza mishono
 
Manyanza hi πŸ‘‹
Unaitwa na street college huku 🀣🀣🀣
 
Ni compliments zangu tu kumuelekea huyu Miss Leejay49 lakini Watu wameelekeza mawazo yako kwenye mambo mengine. Aisee Vijana wanashida sanaaa 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
Sema ume jipinda mwanetuπŸ€£πŸ˜€, Kuna proverbs nime ziona ni shidaπŸ€£πŸ˜€.
πŸ‘‰ Mbona hata mi nampaga Maua yake baby wangu Nuzulati πŸ’“πŸ’“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…