Dear Guys: What things you should never tell your girlfriend?

pistmshai

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
1,315
3,680
Mimi naamini kuna nyakati nyingine huwa tunadhoofisha mahusiano yetu sisi wenyewe wapenzi katika mazungumzo yetu.

Kuna vitu ambavyo huwa hatutakiwi kuzungumza katika mahusiano ila kwa kutotambua madhara yake, tunayaongea tu.

Kuna mambo machache ambayo nafahamu fika wadada hawapendi kuyasikia na unaweza ukayazungumza ukijua unajenga kumbe unabomoa kidogo kidogo, mfano;


Kumlinganisha na Ex-GirlFriend wako, najua hili jambo ni Natural, na linatokea almost kwa wote, but why to blurt that out! Keep mum in this reference, and see your girl smiling all the time! mfano; Irene used to be so punctual, why are you so late… au Irene used to wear makeup,why do you prefer being natural…Irene used to blow, why do you suck…bla bla bla.. hapo unabomoa mkuu...!

Usipende kuzungumzia maumbile ya wanawake wengine kwa kuwakandia ukiwa na lengo la kumfurahisha na kujiona yeye anaumbile zuri zaidi, If you love her and expect a peaceful life, just don’t do that. Things may mess up bad; unaweza kuwakandia wanawake wanene, wenye chunusi, na kadhalika, halafu na yeye mwisho wa mwishoni akaishia hukohuko unapokandia.

Au hata kale katabia ka-Bodyshaming, mtu anadiriki kumwambia mpenzi wake, natamani ungekuwa mwembamba.. LOL.

Hebu wadada tuambizane, ulishawahi kuambiwa jambo gani likakuboa wakati huo au lilikuja kuathiri mahusiano yenu siku za usoni.
 
Nilimuweka moyoni, nilimpenda kuliko kitu chochote duniani, nilimthamini, nilimjali, nilimuheshimu sana na kumvumilia.

Lakini kaneno kadogo tu kalinivunja moyo kabisa na kumuona hana thamani tena katika maisha yangu japo yeye hajui kilichobaki ni kupokea huduma yake na kufanya maisha yangu tu.
 
Wala siumii na sina uhusiano nalo..nashangaa hili neno unalipenda sana kulitamka most of the threads.
anyway una uhuru mana ni jukwaa huru.have good day.
Ungekuwa unajua hilo la uhuru toka mapema usingehangahika kuandika maneno mengii...maana kila unaposikia neno hili unaongea kwa hisia sana

Pole sana.
 
Ungekuwa unajua hilo la uhuru toka mapema usingehangahika kuandika maneno mengii...maana kila unaposikia neno hili unaongea kwa hisia sana

Pole sana.
Sinaga hisia
mimi ni mkatili sana halafu ni mshirikina wa kikwel kweli nina roho mbaya mno. So niliuliza nikiwa sina hisia zozote. na hamna haja ya kunipa pole. Nimeuliza umeshindwa kunijibu bas tuishie hapo.
 
Nilimuweka moyoni, nilimpenda kuliko kitu chochote duniani, nilimthamini, nilimjali, nilimuheshimu sana na kumvumilia.

Lakini kaneno kadogo tu kalinivunja moyo kabisa na kumuona hana thamani tena katika maisha yangu japo yeye hajui kilichobaki ni kupokea huduma yake na kufanya maisha yangu tu.
mmmmh pole kamalizie basi haka kastory nini kilijiri?
 
Nilimuweka moyoni, nilimpenda kuliko kitu chochote duniani, nilimthamini, nilimjali, nilimuheshimu sana na kumvumilia.

Lakini kaneno kadogo tu kalinivunja moyo kabisa na kumuona hana thamani tena katika maisha yangu japo yeye hajui kilichobaki ni kupokea huduma yake na kufanya maisha yangu tu.
Huduma gani anapokea?!....
 
Wanaume mna izo sana.. Naumizwa pale anapoponda mabadiliko ya mwili wangu... Ulikua mwembamba saiv umenenepa sana.. Ulikua ivi leo uko ivi kuponda tu, hamna hata la kusifiwa moja mkuu. Inauma aisee
Hujawahi kucfiwa?!
 
Nilimuweka moyoni, nilimpenda kuliko kitu chochote duniani, nilimthamini, nilimjali, nilimuheshimu sana na kumvumilia.

Lakini kaneno kadogo tu kalinivunja moyo kabisa na kumuona hana thamani tena katika maisha yangu japo yeye hajui kilichobaki ni kupokea huduma yake na kufanya maisha yangu tu.
Halafu mbaya zaidi, yeye hajawahi kukutamkia wewe hayo maneno tena tangu alipokutongoza.. Ila unapewa sifa za Ex wake tu..haha
 
Back
Top Bottom