Dear Chadema, so WHO IS NEXT?

Dear Chadema, so WHO IS NEXT?

Chahali unachekesha kweli, inaonekana umejigeuza wa kuwa SI Unit ya ukweli, kwamba unachosema ww ndio ukweli na hakuna ruhusa ya mtu yoyote anayepaswa kuwa tofauti na unachosema.

Unasema kwamba cdm na ccm wote ni maadui wa ukweli na ukweli huo unaosema hawautaki ni huo unaousema ww! Ni kweli una hoja za hapa na pale, lakini haimaanishi mtu akiutaka ukweli basi ataupata kwako.

Tuje kwenye hoja yako ya kuhusu Lowassa, unaonyesha cdm itaathirika kwa Lowassa kuondoka, lakini huonyeshi ni kwa vipi uwepo wa Lowassa ndani ya cdm ulileta mafanikio. Lowassa alipata kura 6m+ akiwa na miezi mitatu tu ndani ya cdm. Ukweli ambao unaifumbia macho ni kuwa Lowassa alipata kura zile sio kwa uwezo wake bali cdm yenyewe ilikuwa imeshapata imani ya wananchi, hivyo yoyote angepata kura hata zaidi ya zile. Tuangalie mchango wa Lowassa baada ya uchaguzi. Ni lini uliwahi kumuona Lowassa akifungua tawi jipya la cdm au hata kupokea wanachama wapya? Cdm imekuwa ikilalamikiwa kwa kutokuwa na ofisi ya hadhi yake, mbona Lowassa haikujenga basi hata ofisi mpya yenye hadhi ya cdm ili mchango wake uonekane? Lowassa hakuwahi kuwa mpinzani na hatakaa awe mpinzani, yeye alipokosa nafasi ccm akatoa hela zake kuwapa viongozi wachache wa cdm wenye tamaa na kupewa nafasi hiyo, ila ukweli hakuwa na mapenzi yoyote na cdm.

Suala la ww kutukanwa, kila mtu humu hutukanwa na kusifiwa kulingana na hoja yake na maslahi ya hiyo hoja yake kwa kundi husika. Hivyo hoja ya kutukanwa kwa ukweli unaosema ni hoja mfu. Unasema baada ya Lowassa who is next. Kwani Lowassa alikuwa na nafasi gani ya kiutawala ambayo kwa kuondoka kwake kunahitaji kupigiwa kura ili ijazwe? Una mawazo ya kawaida usitake kujikweza kwamba una maoni mazuri sana.
Huyu jamaa ni wa kumpuuza tu.Hii hama hama haisaidii CCM kwa lolote kwani maisha ya mtanzania ni kila siku afadhali ya jana.
 
Chahali unachekesha kweli, inaonekana umejigeuza wa kuwa SI Unit ya ukweli, kwamba unachosema ww ndio ukweli na hakuna ruhusa ya mtu yoyote anayepaswa kuwa tofauti na unachosema.

Unasema kwamba cdm na ccm wote ni maadui wa ukweli na ukweli huo unaosema hawautaki ni huo unaousema ww! Ni kweli una hoja za hapa na pale, lakini haimaanishi mtu akiutaka ukweli basi ataupata kwako.

Tuje kwenye hoja yako ya kuhusu Lowassa, unaonyesha cdm itaathirika kwa Lowassa kuondoka, lakini huonyeshi ni kwa vipi uwepo wa Lowassa ndani ya cdm ulileta mafanikio. Lowassa alipata kura 6m+ akiwa na miezi mitatu tu ndani ya cdm. Ukweli ambao unaifumbia macho ni kuwa Lowassa alipata kura zile sio kwa uwezo wake bali cdm yenyewe ilikuwa imeshapata imani ya wananchi, hivyo yoyote angepata kura hata zaidi ya zile. Tuangalie mchango wa Lowassa baada ya uchaguzi. Ni lini uliwahi kumuona Lowassa akifungua tawi jipya la cdm au hata kupokea wanachama wapya? Cdm imekuwa ikilalamikiwa kwa kutokuwa na ofisi ya hadhi yake, mbona Lowassa haikujenga basi hata ofisi mpya yenye hadhi ya cdm ili mchango wake uonekane? Lowassa hakuwahi kuwa mpinzani na hatakaa awe mpinzani, yeye alipokosa nafasi ccm akatoa hela zake kuwapa viongozi wachache wa cdm wenye tamaa na kupewa nafasi hiyo, ila ukweli hakuwa na mapenzi yoyote na cdm.

Suala la ww kutukanwa, kila mtu humu hutukanwa na kusifiwa kulingana na hoja yake na maslahi ya hiyo hoja yake kwa kundi husika. Hivyo hoja ya kutukanwa kwa ukweli unaosema ni hoja mfu. Unasema baada ya Lowassa who is next. Kwani Lowassa alikuwa na nafasi gani ya kiutawala ambayo kwa kuondoka kwake kunahitaji kupigiwa kura ili ijazwe? Una mawazo ya kawaida usitake kujikweza kwamba una maoni mazuri sana.
Chahali hatakiwi kubishiwa anajua kila kitu na ukimbishia utakula block. Sometimes nawaza jf ingekuwa ni mali ya wanaharakati aina ya chahali kusingekuwa na uhuru wa maoni hapa jamvini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chahali unachekesha kweli, inaonekana umejigeuza wa kuwa SI Unit ya ukweli, kwamba unachosema ww ndio ukweli na hakuna ruhusa ya mtu yoyote anayepaswa kuwa tofauti na unachosema.

Unasema kwamba cdm na ccm wote ni maadui wa ukweli na ukweli huo unaosema hawautaki ni huo unaousema ww! Ni kweli una hoja za hapa na pale, lakini haimaanishi mtu akiutaka ukweli basi ataupata kwako.

Tuje kwenye hoja yako ya kuhusu Lowassa, unaonyesha cdm itaathirika kwa Lowassa kuondoka, lakini huonyeshi ni kwa vipi uwepo wa Lowassa ndani ya cdm ulileta mafanikio. Lowassa alipata kura 6m+ akiwa na miezi mitatu tu ndani ya cdm. Ukweli ambao unaifumbia macho ni kuwa Lowassa alipata kura zile sio kwa uwezo wake bali cdm yenyewe ilikuwa imeshapata imani ya wananchi, hivyo yoyote angepata kura hata zaidi ya zile. Tuangalie mchango wa Lowassa baada ya uchaguzi. Ni lini uliwahi kumuona Lowassa akifungua tawi jipya la cdm au hata kupokea wanachama wapya? Cdm imekuwa ikilalamikiwa kwa kutokuwa na ofisi ya hadhi yake, mbona Lowassa haikujenga basi hata ofisi mpya yenye hadhi ya cdm ili mchango wake uonekane? Lowassa hakuwahi kuwa mpinzani na hatakaa awe mpinzani, yeye alipokosa nafasi ccm akatoa hela zake kuwapa viongozi wachache wa cdm wenye tamaa na kupewa nafasi hiyo, ila ukweli hakuwa na mapenzi yoyote na cdm.

Suala la ww kutukanwa, kila mtu humu hutukanwa na kusifiwa kulingana na hoja yake na maslahi ya hiyo hoja yake kwa kundi husika. Hivyo hoja ya kutukanwa kwa ukweli unaosema ni hoja mfu. Unasema baada ya Lowassa who is next. Kwani Lowassa alikuwa na nafasi gani ya kiutawala ambayo kwa kuondoka kwake kunahitaji kupigiwa kura ili ijazwe? Una mawazo ya kawaida usitake kujikweza kwamba una maoni mazuri sana.
Uwii aisee umechamba ndungu,emu kumbuka wakati mbowe anampokea lowassa alisemaje ,watu wengi tanzania ndio waliijua chadema Siku lowassa alipojiunga .

Kuhusu kutoa kadi,hilo mbona alifanya kwenye mikutano ya kampeni,mie nilipata kadi yangu ya cdm kwenye mkutano wake.

Kuhusu kujenga ofisi ,hilo liko wazi silijibi hapa.

Ila kiukweli luwsaa alikuwa na mchango mkubwa sana katika kuipa uhai cdm,na sema ndio vile ti dk slaa alimkimbia,ila kama wangekuwa pamoja nakuhakikishia now ccm ingekuwa chalii,kifo cha mende.
 
We don't care about who is next, upinzani umo ndani ya mioyo ya watu, people need change,and change don't need people.
Hata aende Mbowe, upinzani upo tu,hata anunuliwe Lissu upinzani upo tu, upinzani ulianzia mbinguni, utakuwepo tu siku zote, hii ni dhoruba kubwa ambayo CHADEMA wanapitia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu pamoja na kuwa na PhD za maganda ya korosho kukuelewa hapa ni ngumu.wao wanadhani sisi tunataka flyovers au ndege though vinanunuliwa kwa pesa yetu.sisi wengine tumechoka ccm na siasa zao uchwara.na tunaumia sana tunapoona nchi za wenzetu zikiwa zinatembea while sisi tupo busy kupokea wanachama wa chma
 
Hujui historia kaa kimya. Tanzania haikuwa koloni bali chini ya udhamini wa waingereza mpaka itakapoweza kujitawala. Wazungu hapa nchini walikuwa ni wa kuhesabu na waliajiri waafrika wenzetu kuwasaidia kutawala. Lakini hao wanaccm wapo hapa hapa nchini hata wakitoka madarakani wataendelea kuishi hapa hapa kwani hawana pakwenda. Toa mifano inayofanana na mazingira halisi boss.
Bado haijalishi. Chadema mu wachanga sana
 
Drill is the same: kila anayehama "acha aende zake"... eti alikuwa na mapungufu flani, japo laiti ungejaribu kuyataja mapungufu hayo kabla hajahama ungeambulia matusi.

Both Chadema na CCM wana uhasama mkubwa dhidi ya ukweli. Waambie ukweli utaitwa kila aina ya jina baya kama si kutukanwa kila aina ya tusi.

Lakini ukweli una tabia moja ya msingi: kuukataa ukweli hakuufanyi kuwa uongo. Ukweli hubaki kuwa ukweli.

Na moja ya ukweli ambao ndugu zangu wa Chadema wanaukwepa ni kwamba kuna virusi vinavyokitafuna chama hicho, virusi vya asili (vinavyopandikizwa na Kitengo: mbunge mmoja wa chama hicho ni afisa wa kitengo sambamba na diwani mmoja) na virusi vilivyoingia kwa kasi mwaka 2015 wakati chama hicho kilipolamba matapishi yake - kwa kumwandama Lowassa miaka 9 mfululizo kuwa ni fisadi kabla ya kumpokea na kumfanya mgombea urais.

Intelijensia ya Chadema ilikuwa imara sana enzi za kina Dokta Slaa. Ndio iliyoiwezesha Chadema kupata nyaraka mbalimbali muhimu zilizokiwezesha chama hicho kuwa mahiri katika kuibua ufisadi.

Na intelijensia hiyo ilikuwa mahiri pia katika kubaini hujuma mbalimbali dhidi ya chama hicho.

Yayumkinika kuhisi kuwa laiti ingekuwa zama hizo, basi huenda wenye mipango ya kuhama wangejulikana mapema na pengine kuchukuliwa hatua stahili.

Ni rahisi kujihadaa kuwa "acha waende" ilhali hamjui WHO IS NEXT. Kwa sababu hata Lowassa alikuwa anasema hivyo hivyo "acha waende" lakini nae kafuata mkumbo.

Ni rahisi kujihadaa kuwa hamahama hii haina athari lakini kama Chadema itajihangaisha kufikiria athari za hamahama hiyo sio kwa wanachama wao bali "watu wasio na vyama" - kundi muhimu kabisa katika siasa za chaguzi za Tanzania - itabaini kuwa ina kazi ya ziada kulishawishi kundi hilo kuwa chama hicho kinastahili kuendelea kuaminiwa.

Back to swali la msingi: Je Chadema inaweza kutuambia WHO IS NEXT (and may be WHO ISN'T)?




Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili yako hawa kujuwa mbona wewe umekuwa zezeta lipi wasilolijuwa
 
Drill is the same: kila anayehama "acha aende zake"... eti alikuwa na mapungufu flani, japo laiti ungejaribu kuyataja mapungufu hayo kabla hajahama ungeambulia matusi.

Both Chadema na CCM wana uhasama mkubwa dhidi ya ukweli. Waambie ukweli utaitwa kila aina ya jina baya kama si kutukanwa kila aina ya tusi.

Lakini ukweli una tabia moja ya msingi: kuukataa ukweli hakuufanyi kuwa uongo. Ukweli hubaki kuwa ukweli.

Na moja ya ukweli ambao ndugu zangu wa Chadema wanaukwepa ni kwamba kuna virusi vinavyokitafuna chama hicho, virusi vya asili (vinavyopandikizwa na Kitengo: mbunge mmoja wa chama hicho ni afisa wa kitengo sambamba na diwani mmoja) na virusi vilivyoingia kwa kasi mwaka 2015 wakati chama hicho kilipolamba matapishi yake - kwa kumwandama Lowassa miaka 9 mfululizo kuwa ni fisadi kabla ya kumpokea na kumfanya mgombea urais.

Intelijensia ya Chadema ilikuwa imara sana enzi za kina Dokta Slaa. Ndio iliyoiwezesha Chadema kupata nyaraka mbalimbali muhimu zilizokiwezesha chama hicho kuwa mahiri katika kuibua ufisadi.

Na intelijensia hiyo ilikuwa mahiri pia katika kubaini hujuma mbalimbali dhidi ya chama hicho.

Yayumkinika kuhisi kuwa laiti ingekuwa zama hizo, basi huenda wenye mipango ya kuhama wangejulikana mapema na pengine kuchukuliwa hatua stahili.

Ni rahisi kujihadaa kuwa "acha waende" ilhali hamjui WHO IS NEXT. Kwa sababu hata Lowassa alikuwa anasema hivyo hivyo "acha waende" lakini nae kafuata mkumbo.

Ni rahisi kujihadaa kuwa hamahama hii haina athari lakini kama Chadema itajihangaisha kufikiria athari za hamahama hiyo sio kwa wanachama wao bali "watu wasio na vyama" - kundi muhimu kabisa katika siasa za chaguzi za Tanzania - itabaini kuwa ina kazi ya ziada kulishawishi kundi hilo kuwa chama hicho kinastahili kuendelea kuaminiwa.

Back to swali la msingi: Je Chadema inaweza kutuambia WHO IS NEXT (and may be WHO ISN'T)?




Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Chahali hivi kuna siku itatokea ccm imekubali kushindwa kwa kura na kuacha upinzani uongoze nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Who is next kuondoka cdm au kuwa mjumbe wa kamati kuu kujaza nafasi ya Lowassa? Afafanue

Does it really matter who is next? Jambo la msingi ni je, yeyote anayeondoka anafanya hivyo kwa utashi we kisiasa na kuvutiwa na falsafa ya kisiasa ya upande wa pili? Kama ndiyo basi hiyo ndiyo siasa. Kinyume chake tumeruhusu hoodlums kuliangamiza taifà letu.
 
Chahali unachekesha kweli, inaonekana umejigeuza wa kuwa SI Unit ya ukweli, kwamba unachosema ww ndio ukweli na hakuna ruhusa ya mtu yoyote anayepaswa kuwa tofauti na unachosema.

Unasema kwamba cdm na ccm wote ni maadui wa ukweli na ukweli huo unaosema hawautaki ni huo unaousema ww! Ni kweli una hoja za hapa na pale, lakini haimaanishi mtu akiutaka ukweli basi ataupata kwako.

Tuje kwenye hoja yako ya kuhusu Lowassa, unaonyesha cdm itaathirika kwa Lowassa kuondoka, lakini huonyeshi ni kwa vipi uwepo wa Lowassa ndani ya cdm ulileta mafanikio. Lowassa alipata kura 6m+ akiwa na miezi mitatu tu ndani ya cdm. Ukweli ambao unaifumbia macho ni kuwa Lowassa alipata kura zile sio kwa uwezo wake bali cdm yenyewe ilikuwa imeshapata imani ya wananchi, hivyo yoyote angepata kura hata zaidi ya zile. Tuangalie mchango wa Lowassa baada ya uchaguzi. Ni lini uliwahi kumuona Lowassa akifungua tawi jipya la cdm au hata kupokea wanachama wapya? Cdm imekuwa ikilalamikiwa kwa kutokuwa na ofisi ya hadhi yake, mbona Lowassa haikujenga basi hata ofisi mpya yenye hadhi ya cdm ili mchango wake uonekane? Lowassa hakuwahi kuwa mpinzani na hatakaa awe mpinzani, yeye alipokosa nafasi ccm akatoa hela zake kuwapa viongozi wachache wa cdm wenye tamaa na kupewa nafasi hiyo, ila ukweli hakuwa na mapenzi yoyote na cdm.

Suala la ww kutukanwa, kila mtu humu hutukanwa na kusifiwa kulingana na hoja yake na maslahi ya hiyo hoja yake kwa kundi husika. Hivyo hoja ya kutukanwa kwa ukweli unaosema ni hoja mfu. Unasema baada ya Lowassa who is next. Kwani Lowassa alikuwa na nafasi gani ya kiutawala ambayo kwa kuondoka kwake kunahitaji kupigiwa kura ili ijazwe? Una mawazo ya kawaida usitake kujikweza kwamba una maoni mazuri sana.
Hivi kuna mwanachadema anajivunia kura mil 6 za Lowasa kuwa ni za wananchi kuiamini CHADEMA?
 
Hivi kuna mwanachadema anajivunia kura mil 6 za Lowasa kuwa ni za wananchi kuiamini CHADEMA?

Kura million sita hazikuletwa na Lowassa bali alizokuta, tena zilipungua, Slaa angegombea zingezidi.
 
Mkuu
Mbona TANU ilitoboa wakati wa ukoloni? Acheni visingizio. Nyie bado wachanga sana
mkuu nadhani unachosema ni kwamba Chadema wanatakiwa wapenetrate hata kwenye vyombo vya dola same way wanavyofanya ccm,mimi nilidhani tunatakiwa tulaani huu ujinga wa ccm wa kuviingiza vyombo vya serikali kwenye siasa ili kisimame chenyewe kama chama cha siasa ila kuvishauri vyama vingine vijiingize pia huko ni hatari.unless kama umevimbiwa na makande
 
Back
Top Bottom