Deal la Mercury wadau msaada

Mupirocin

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
1,739
744
Habari za jioni wakuu.
Nimepigiwa simu na mshikaji wangu akanambia mahali ninapo fanya kazi kunamercury huwa inakuwa supplied pale, any way mimi sijui ninatakiwa kufanya uchunguzi ili nijue inapatikana sehemu gani na kwanini wanasupply coz najua mercury ni poison.
Swali langu wakuu hivi huku mtaani siku hizi mercury inatuka kutengenezea nini?
Isije kuwa inatumika kutengenezea sumu zikaua watanzania wenzangu lakini hata kama inatumika kutengenezea vipodozi bado sipo tayari kumsaidia ili awaharibu watanzania. Coz kwa jinsi alivyoniapproach anaonelkana ni deal la siri sasa nataka kujua. Yeye kagoma kuniambia inatumika katika nini. Nisaidieni wakuu coz humu jf najua tunatokea katika mazingira tofauti.
 
Jitayarishe KUTAPELIWA na Hilo unaloona ni DILI La siri. Amka na ukimbie
 
Anyway, Inatumika kusafishia VITO na matumizi mengineyo...
 
Mercury deal kubwa sana gram 1 inafika mil.40 haipatikani kirahisi hiyo kitu!!daahh umenikumbusha hatari kubwa sana wakati naitafuta!!!
 
Mercury deal kubwa sana gram 1 inafika mil.40 haipatikani kirahisi hiyo kitu!!daahh umenikumbusha hatari kubwa sana wakati naitafuta!!!

Naomba utueleze hatari yake nini mkuu ndo tunalotaka kujua
 
Habari za jioni wakuu.
Nimepigiwa simu na mshikaji wangu akanambia mahali ninapo fanya kazi kunamercury huwa inakuwa supplied pale, any way mimi sijui ninatakiwa kufanya uchunguzi ili nijue inapatikana sehemu gani na kwanini wanasupply coz najua mercury ni poison.
Swali langu wakuu hivi huku mtaani siku hizi mercury inatuka kutengenezea nini?
Isije kuwa inatumika kutengenezea sumu zikaua watanzania wenzangu lakini hata kama inatumika kutengenezea vipodozi bado sipo tayari kumsaidia ili awaharibu watanzania. Coz kwa jinsi alivyoniapproach anaonelkana ni deal la siri sasa nataka kujua. Yeye kagoma kuniambia inatumika katika nini. Nisaidieni wakuu coz humu jf najua tunatokea katika mazingira tofauti.

Hivi hii deal la mercury si la zamani sana na lile la dhahabu kwenye tube? Amkeni. Matapeli at work!!
 
Washirikina wanaitumia kwenye visima vya mafuta ili vitoe mafuta mengi hasa waarabu
 
Effects of Mercury byWikipedia
Mercury poisoning (also known as hydrargyria or mercurialism)is a disease caused by exposure to mercuryor its compounds. Mercury (chemical symbol Hg) is a heavy metal occurring in several forms, allof which can produce toxic effects in high enough doses. Its zero oxidationstate Hg[SUP]0[/SUP] exists as vapor or as liquidmetal, its mercurous state Hg[SUB]2[/SUB][SUP]2+[/SUP] exists as inorganicsalts, and its mercuric state Hg[SUP]2+[/SUP] may form either inorganic saltsor organomercurycompounds; the three groups vary in effects. Toxic effects include damage tothe brain, kidney, and lungs.[SUP][1][/SUP]Mercury poisoning can result in several diseases, including acrodynia (pinkdisease),[SUP][2][/SUP]Hunter-Russell syndrome, and Minamatadisease.[SUP][3][/SUP]
Symptoms typically includesensory impairment (vision, hearing, speech), disturbed sensation and a lack ofcoordination. The type and degree of symptoms exhibited depend upon theindividual toxin, the dose, and the method and duration of exposure.

Signs and symptoms
Common symptomsof mercury poisoning include peripheral neuropathy (presenting as paresthesiaor itching,burning or pain),skin discoloration (pink cheeks, fingertips and toes), swelling, and desquamation(shedding of skin).
Mercuryirreversibly inhibits selenium-dependent enzymes (see below) and may alsoinactivate S-adenosyl-methionine, which is necessary forcatecholamine catabolism by catechol-o-methyl transferase. Due tothe body's inability to degrade catecholamines (e.g. Epinephrine)a person suffering from mercury poisoning may experience profuse sweating, tachycardia(persistently faster-than-normal heart beat), increased salivation, and hypertension(high blood pressure).
Affectedchildren may show red cheeks,noseand lips, loss of hair,teeth, and nails,transient rashes, hypotonia (muscle weakness), and increased sensitivity tolight. Other symptoms may include kidney dysfunction (e.g. Fanconisyndrome) or neuropsychiatric symptoms such as emotional lability,memoryimpairment, and / or insomnia.
Thus, theclinical presentation may resemble pheochromocytomaor Kawasaki disease.
An example of desquamation(skin peeling) of the hand of a child with severe mercury poisoning acquired byhandling elemental mercury is thisphotograph in Horowitz, et al. (2002
 
Naomba utueleze hatari yake nini mkuu ndo tunalotaka kujua

Mkuu hiyo kitu kuipata kwake ile really kabisa ni kwenye migodi mikubwa ambapo usafishia madini,jeshini utumika kwa milipuko na kwenye mapango huko sasa ni masharti mengi unaweza poteza maisha ila kubwa zaidi ni kuna wafanyabiashara wanatumia kusafishia hela especially USD hiyo ndo hotcake yao hata mil.50 kwa gram wanakupa kuwapa sasa hawajitangazi hao watu
 
Mkuu hiyo kitu kuipata kwake ile really kabisa ni kwenye migodi mikubwa ambapo usafishia madini,jeshini utumika kwa milipuko na kwenye mapango huko sasa ni masharti mengi unaweza poteza maisha ila kubwa zaidi ni kuna wafanyabiashara wanatumia kusafishia hela especially USD hiyo ndo hotcake yao hata mil.50 kwa gram wanakupa kuwapa sasa hawajitangazi hao watu

leo ndiyo najua pesa inasafishwa ..... between the lines .... pesa ikiwa chafu kuna ubaya gani ? who cares .... instead inabadilishwa central bank au ninakose mantiki?
 
Mtu anicheki kwenye 0714338815 npo moro now,im agent to kenyan market
 
Achana na hiyo kitu, mercury ni poisonous ambayo handling yake kwa usalama kabisa is a bit complicated.
 
Back
Top Bottom