De Gea adai Man Utd wamepewa laana

De Gea adai Man Utd wamepewa laana

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
26,532
Reaction score
61,956
Golikipa wa Man Utd, David De Gea anadai kuwa timu yao itakuwa imepewa laana na ndio maana haifanyi vizuri kwasasa!

Sijui tunachokifanya kwasasa, matokeo yamekuwa mabaya siku mpaka siku, nafikiri kuna mtu atakuwa ametupa mkosi/laana, aliongeza De Gea.

Una maoni gani kuhusu kauli ya De Gea? Unamuunga mkono au laah...

55323DA4-0021-4998-9A5C-8056AF7EF5BC.png
 
Back
Top Bottom