DCI: Tumemchoka Mange

DCI: Tumemchoka Mange

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,154
Reaction score
162,570
Hii ni habari katika gazeti la Uhuru la siku ya leo tarehe 12/09/2017.

Screenshot from 2017-09-12 11-21-01.png

Pia amtaka Lissu aeleze ukweli asiingize siasa(ni katika habari hiyo inayomuhusu Mange)

Chanzo:Uhuru

My take
:
Reaction ya Mange baada ya Lissu kupigwa risasi ilikuwa si ya mchezo hasa baada ya bwana mkubwa mmoja kutoa salaam zake.

Alafu hii hofu ya atakachosema Lissu inatoka wap?!
 
Hivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Huyo ni msaliti km wasaliti wengine.Dawa ya msaliti duniani kote-ni moja tu!
 
Back
Top Bottom