DC wa Iramba ajitumbua mwenyewe

vipi bibi, serikali ya parokia imekukasirisha nini?
Hapakazi tu, watendaji wazuri ndo walio na wanaoendelea kuteuliwa
Hayo maneno yanamuudhi bibi yetu, anaona 2020 haifiki, muda wa kukata suruali na kuvaa makobasi magogoni imehamia msoga. Sasa ni kazi tu.
Usishangae akahamia cuf, ingawa damu yake ya kijani.
 

Hongera sana binti! Huu ndio uongozi siyo kung'ang'ania hata kama umetingwa, acha wengine wenye nafasi wafanye. Safi sana Lucy.
 
Anajuta kimya kimya kupiga kampeni, bora angekaa kimya. Sasa ameamua kuunda id tofauti ili achangie kwa uhuru, kumbe hajui makada wenzake tunamfuatilia, hata nyumba 10 hapati. Pole sana,
 
Huyu ni moja ya vile vipoozeo vya Mzee wa Msoga nini?
Picha tafadhali
 
I see!!!Kumbe ndio huyu?basi sawaaaaaa
 
Mwaka huu hakuna kubebana vyeo 2 mtu mmoja! Wabunge wote wataukosa u DC: Kina Stella Manyanya na wengine walibebwa sana maana walikuwa wanavuta mishahara 2!
Wakati Stella alipokua mkuu wa mkoa rukwa alikua akipokea mshahara gani mwingine?
 
Hata hivyo anahudumu nafasi zaidi ya moja, si rahisi kutoa matokeo yanayotarajiwa kwenye nafasi zote bora apumzike badhi ya nyazifa.
 
Mbunge wa viti maalumu
Ali kuwa anaropoka matusi bungeni utafikiri yupo kwenye kifua cha mkwere
Hahaha kifua cha mkwere? Fafanua kdg. Hivi kumbe alikua mbunge viti maalumu? Hivi unaweza kua mkuu was mkoa na mbunge pia. Maana yule gama aliyekua kilimanjaro alijiuzuru u RC ili kugombea ubunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…