katika hali isiyo tarajiwa DC wa iramba Lucy mayenga ambaye pia ni mbunge wa viti maalumu amuomba rais amuache kwenye uteuz wa wakuu wa wilaya. kwani ukuu wa wilaya umemsababishia biashara zake huko shinyanga kwenda vibaya, hii aliongea wakati alipokutana na uwt huko shyinyanga. inasemekana WAZIRI MKUU alivyopita pande hixo mkuu huyo wa wilaya alimuomba waziri mkuu amwambia rais asimteue tena, mh wazir MKUU akamwambia asubirie uteuz mpyya, na amesema isitafsiriwe kuwa ameshindwa kwenda na kas ya mh.
my take!! inawezekanaje mteule wa Rais aseme sasa kuwa biashara zake zinaenda vibaya kisa ukuu wa wilaya hapo mwanzo hakuliona hilo.
source magazet ya leo