Chadema ni genge la wazinifu, wauwaji, wamwagia watu tindikali, walisha watu sumu, waporaji, wala ruzuku na walaghaiCCM ni chama cha vibaka na wauza unga!!
Kumchaya, Kapuya, ..................... the list continues...
Mleta mada amevurugwa kweli kweli. Naamini amekunywa gongo asbh ndio imemfikisha hapo.
ccm haina mkuu wa wilaya.
lema (kufanyiwa kitu mbaya)....
....Huy mwanamke atakuwa ni Mchagga.
Huy mwanamke atakuwa ni Mchagga.
Mleta mada amevurugwa kweli kweli. Naamini amekunywa gongo asbh ndio imemfikisha hapo.
ccm haina mkuu wa wilaya.
Kumbe kina Kapuya wapo wengi sana ndani ya CCM. Nawashangaa sana jinsi wanavyopenda ngono na kibaya zaidi ni kwamba wameamua kuwekeza fedha za umma kwenye ngono binafsi. Hili suala lazima litazamwa kwa jicho la tatu, hasa na wananchi ambao ndio waathirika wakubwa wa ufisadi huu wa kimapenzi. Kama ikibnidi, kuna haja ya kuchukua uamuzi mgumu kama ule waliouchukua wananchi wa Mwanza leo mchana.
Na ni mashaitwani wa kijaniCcm ni chama cha wazinzi na matapeli..
Kumchaya kamroga huyu betty mpaka akawa anatoa mamilion,dawa imeisha ndio betty kastuka,hivi sinza kupanga nyumba nzima kodi kwa mwaka sh. 3.6m? Au ni sinza ile ya Tandale/Manzese?
Hebu kapate supu kwanza uzimue hizo bia ulizohongwa jana..
Mleta mada amevurugwa kweli kweli. Naamini amekunywa gongo asbh ndio imemfikisha hapo.
ccm haina mkuu wa wilaya.
Huyu mwanamke hazimtoshi unakopaje hela hili umfurahishe bwana.
Huko kwenye taasisi zinazokopesha hawaelezwi madhumuni ya mikopo.
Ina maana wakati anaenda kukopa kwa niaba ya huyo bwana, Kumchaya alikuwa hakopesheki?.
Atuache tuendelee kuombeleza kifo cha Madiba wetu,yeye aendeleze pillow talk na Kumchaya.