WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,236
Tayari hapo umeshasema Chadema, mie ni Wa-Ukenyenge mkuu, mambo ya chadema kuna msemaji wake.Mbona Chadema wanasema hawana imani nae?
Tayari hapo umeshasema Chadema, mie ni Wa-Ukenyenge mkuu, mambo ya chadema kuna msemaji wake.Mbona Chadema wanasema hawana imani nae?
Sorce plz?
Wewe una akili nyingi kutambua kuwa JK hapuuzii masuala ya PK na jeshi ndio linajipanga ndio mana majembe yanarudi jikoni na jamaa ni jembe kwelikweli ila gazeti limekosea cheo chake sio hicho cha Brig Gen wasahihishe.Maandalizi ya mwisho mwisho kulitandika lile dikteta la ukanda wa maziwa makuu ndio yanakamilika hivyo. Connect dots na hotuba ya Rais kwa Taifa leo kuhusu kauli za dikteta dhidi ya Tanzania na Rais wetu.
Mdau, ni kwamba wakati Mjeshi huyu anateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya alikuwa na cheo cha Kanali.Sasa baada ya kupandishwa ngazi kufikia cheo cha Brigedia imeonekana hastahili tena kuendelea na wadhifa wa Ukuu wa Wilaya.
Halafu mtu mwenye cheo cha Brigedia na ukuu wa wilaya wapi na wapi? Hizi njaa hakika ni majanga.
Yaweza kuwa kazi ya mweshimiwa Lisu.maana amepiga kelele sana juu ya kuwa na makada wanajeshi.Mkuu wa wilaya Simanjiro Brigedia Jenerali Cosmas Kayombo amerudishwa makao makuu ya Jeshi la Wananchi kuendelea na kazi yake na kuiacha nafasi hiyo ya mkuu wa Wawilaya.
Maswali najiuliza..
Alipokuwa mkuu wa wilaya alikua anaingia katika vikao vya CCM kwa nafasi yake,sijui na kadi alishapewa,wanajeshi na maaskari awaruhisiwi kuwa wanachama, sasa itakuaje kwa huyu bwana katika utendaji wake?
Chanzo: gazeti la mwananchi la agosti 2
CC Ritz,H-D na wote CCM wenzangu.
Mimi ni mwanachama wa CCM ila Tanzania kwanza vyama baadae.
"Vox populi,Vox dei"
Unashangaa hilo Dr. Michael Kadeghe mkuu wa Wilaya ya Mbozi ni Dr. wa shule na lecturer pale UDISM lkn njaa imempeleka kuwa mkuu wa wilaya. Ukiwa CCM akili unaziacha chooni unabaki na ma------ tuu
Yaweza kuwa kazi ya mweshimiwa Lisu.maana amepiga kelele sana juu ya kuwa na makada wanajeshi.