KOFIANAN
Member
- Mar 19, 2019
- 99
- 46
Me nadhani kuna tatizo sehemu Fulani, kwa watu ambao hawana dhamana kulisemea ni kazi bure.
Labda tuulize ikiwa wewe ni mmoja wa wanakamati ya ulinzi Na usalama unaruhusiwa kuvaa sare za chombo cha ulinzi Na usalama?
Je mkuu wa police hajaliona hili?
Je waziri lugola hajaliona Wala kulisikia ili?
Me nafikiri tufike mahali tujitambue kiukweli SABAYA Huwa anafanya vitu vya KIPUUZI visivyokuwa Na mbele Wala nyuma.
Presidential representative mjiataidi kufanya vitu smart Kama MH alivowaamini. Mnayofanya kiukweli mnamuaibisha sana.
Kwa mfano ukivaa ivo unamanisha nn au unaongezaka nn?
SOME TIMES IGNORANCE OF YOUR MIND IS PRESENTED BY YOUR STUPIDITY ACTION IN YOUR COMMUNITY.
SABAYA SABAYA SABAYA SABAYA SABAYA SABAYA
YOU HAVE TO CHANGE BROTHER,
Acha vitu vya HOVYO.
KUAMINIKA HUKU INATAKIWA UFANYE MAMBO YA KUHAKIKISHA mh Raisi anakuwa Na uhakika wa wananchi wake kuwa hata asipofika ana mtu anamsaidia.
Labda tuulize ikiwa wewe ni mmoja wa wanakamati ya ulinzi Na usalama unaruhusiwa kuvaa sare za chombo cha ulinzi Na usalama?
Je mkuu wa police hajaliona hili?
Je waziri lugola hajaliona Wala kulisikia ili?
Me nafikiri tufike mahali tujitambue kiukweli SABAYA Huwa anafanya vitu vya KIPUUZI visivyokuwa Na mbele Wala nyuma.
Presidential representative mjiataidi kufanya vitu smart Kama MH alivowaamini. Mnayofanya kiukweli mnamuaibisha sana.
Kwa mfano ukivaa ivo unamanisha nn au unaongezaka nn?
SOME TIMES IGNORANCE OF YOUR MIND IS PRESENTED BY YOUR STUPIDITY ACTION IN YOUR COMMUNITY.
SABAYA SABAYA SABAYA SABAYA SABAYA SABAYA
YOU HAVE TO CHANGE BROTHER,
Acha vitu vya HOVYO.
KUAMINIKA HUKU INATAKIWA UFANYE MAMBO YA KUHAKIKISHA mh Raisi anakuwa Na uhakika wa wananchi wake kuwa hata asipofika ana mtu anamsaidia.
Nimejiuliza sana sijapata majibu maana hii ni mpya kumuona Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kavaa sare za Polisi hasa kuona sare hizi ameziandika UVCCM huku akijua sio rangi za chama cha CCM ni nguo za jeshi la polisi
View attachment 1204971