Daniel kulwa Nyawayi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 277
- 187
Mmmh ukipewa hiyo ruhusa na mkeo inabidi kabla ujatekeleza ujifikilie sana pengne yeye alishakuongezea mwenzio muda mrf.Ukiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.
View attachment 699033
View attachment 699031
Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.