DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

Ukiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.

View attachment 699033

View attachment 699031




Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.
Mmmh ukipewa hiyo ruhusa na mkeo inabidi kabla ujatekeleza ujifikilie sana pengne yeye alishakuongezea mwenzio muda mrf.
 
Home Mahusiano Eritrea Imetoa Sheria Mpya: Oa Wake Wawili au Nenda Jela.
MAHUSIANOTRENDING
ERITREA IMETOA SHERIA MPYA: OA WAKE WAWILI AU NENDA JELA.
written by Admin January 26, 2016

Wanaume nchini Eritrea, wameagizwa na serikali kuoa mke zaidi ya mmoja, la sivyo unajiweka kwenye hatari ya kwenda jela.
Serikali pia imeahidi kusaidia gharama za harusi pamoja na nyumba. Sheria hii imekuja kutokana na uhaba wa wanaume nchini humo uliotokana na vita kati ya Eritrea na Ethiopia ambapo zaidi ya wanajeshi 150,000 waliuwawa.
Sheria hii haiwahusu wanaume peke yao, mwanamke atakaye kataa mume wake asioe mwanamke wa pili anaadhibiwa kwa kifungo cha maisha jela.
Jina la Eritrea linamaanisha “Red Sea” kwa Kigiriki.

Zifuatazo ni baadhi ya picha za wasichana wa Eritrea.

ethiopian.jpg
Eritrean-women.jpg
1503782_tumblr.jpg
335298ba1b9d2ac1f7c70caa8cc105d1.jpg
download1.jpg

Eritrea Imetoa Sheria Mpya: Oa Wake Wawili au Nenda Jela. - Habari | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
 
Home Mahusiano Eritrea Imetoa Sheria Mpya: Oa Wake Wawili au Nenda Jela.
MAHUSIANOTRENDING
ERITREA IMETOA SHERIA MPYA: OA WAKE WAWILI AU NENDA JELA.
written by Admin January 26, 2016

Wanaume nchini Eritrea, wameagizwa na serikali kuoa mke zaidi ya mmoja, la sivyo unajiweka kwenye hatari ya kwenda jela.
Serikali pia imeahidi kusaidia gharama za harusi pamoja na nyumba. Sheria hii imekuja kutokana na uhaba wa wanaume nchini humo uliotokana na vita kati ya Eritrea na Ethiopia ambapo zaidi ya wanajeshi 150,000 waliuwawa.
Sheria hii haiwahusu wanaume peke yao, mwanamke atakaye kataa mume wake asioe mwanamke wa pili anaadhibiwa kwa kifungo cha maisha jela.
Jina la Eritrea linamaanisha “Red Sea” kwa Kigiriki.

Zifuatazo ni baadhi ya picha za wasichana wa Eritrea.

View attachment 717766 View attachment 717767 View attachment 717768 View attachment 717769 View attachment 717770
Eritrea Imetoa Sheria Mpya: Oa Wake Wawili au Nenda Jela. - Habari | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
I love this country "Eritrea"!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom