Mabunu
Member
- Oct 17, 2012
- 33
- 13
Mwanzoni mwa mwaka huu Mkuu wa wilaya ya Ngara Bw Costantine Kanyasu alialikwa kuwa Mgeni rasmi katika shindano la Miss Ngara
Katika shindano hilo mshindi aliahidiwa kupewa vifaa vya Salon ya kike vyenye gharama ya shilingi milioni 2, mshindi wa pili zawadi yenye thamani ya milioni 1 na mshindi wa 3 laki 7
kilichofanyika ni kwamba waandaaji walienda salon kuazima vifaa kwa ajili ya kuwapa washindi na baada ya hapo waliwanyang'anya
baada ya kupata taarifa hizo kuna Redio moja iko Ngara ikalipigia kelele suala hilo, mshindi wa kwanza akapewa laki 1, wa pili elfu 50 na wa tatu elfu 10
Ikumbukwe kuwa Mkuu wa wilaya ndo alikuwa Mgeni rasmi na mchong9o wote anaufahamu but hajachukua hatua yoyote kwa waandaaji ambao ni Paradise Hotel na Happy Fashion
Katika shindano hilo mshindi aliahidiwa kupewa vifaa vya Salon ya kike vyenye gharama ya shilingi milioni 2, mshindi wa pili zawadi yenye thamani ya milioni 1 na mshindi wa 3 laki 7
kilichofanyika ni kwamba waandaaji walienda salon kuazima vifaa kwa ajili ya kuwapa washindi na baada ya hapo waliwanyang'anya
baada ya kupata taarifa hizo kuna Redio moja iko Ngara ikalipigia kelele suala hilo, mshindi wa kwanza akapewa laki 1, wa pili elfu 50 na wa tatu elfu 10
Ikumbukwe kuwa Mkuu wa wilaya ndo alikuwa Mgeni rasmi na mchong9o wote anaufahamu but hajachukua hatua yoyote kwa waandaaji ambao ni Paradise Hotel na Happy Fashion