Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 209
- 236
Huyu DC mstaafu unamchukuliaje baada ya kuchukua uamzi huu?
Ashukuru KWA MASLAHI YA UMMA amestaafishwa.Huyu DC mstaafu unamchukuliaje baada ya kuchukua uamzi huu?View attachment 2641870
Mimi binafsi nimeshanga sanaAnalazimisha jabari kuelea kwenye maji.
Watu sijui nani anawadanganya hizi mamboAshukuru KWA MASLAHI YA UMMA amestaafishwa.
Kuna hatua zingine huchukuliwa kwa MASLAHI YA UMMA. Atulie !
Kikubwa anapaswa kuwa makini sana, jambo analofanya sijui kama yeye mwenyewe kama ana uhakika nalo.Mimi binafsi nimeshanga sana
Itakuwa kajazwa matumaini na wazee wa upigajiKikubwa anapaswa kuwa makini sana, jambo analofanya sijui kama yeye mwenyewe kama ana uhakika nalo.
Neno zito hiliAtakayeendesha kesi na yeye ataendeshwa
Kutishana bure, maslahi ya taifa gani?Ashukuru KWA MASLAHI YA UMMA amestaafishwa.
Kuna hatua zingine huchukuliwa kwa MASLAHI YA UMMA. Atulie !
Huyu ndio anapaswa kuitwa jembe!Huyu DC mstaafu unamchukuliaje baada ya kuchukua uamzi huu?View attachment 2641870
jembe gani wakati ameshindwa kujiajiri kama watuaminishavyo wanapokuwa ni viongoziHuyu ndio anapaswa kuitwa jembe!
Hahaha TanzaniaKutishana bure, maslahi ya taifa gani?
Alooo nimecheka sanaCheo kitamu sana,sahiz utakuta hata wife kamkimbia,Michepuko haileweki,ndugu wanamuona kama ng'ombe lazima mwamba apambanie kombe,ila asahau coz alikuwa timu Jiwe,labda aogee maji ya magadi.
Nje ya Box hiiSioni sababu ya kufanya hivyo,kwa level yake ya utumishi kama kweli alikuwa competent sidhani kama angekosa kazi..........but amethubutu mahakama ipate reference.......na ni muda wa Chawa kumuharibia kama kuna mishe aliinvest