PostGE2025 DC Mpogolo: Wenyeviti wa Serikali za Mitaa waleeni vijana ili wasitumike kufanya uhalifu

PostGE2025 DC Mpogolo: Wenyeviti wa Serikali za Mitaa waleeni vijana ili wasitumike kufanya uhalifu

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ametoa wito kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa kata na polisi kata wilayani humo kuhakikisha vijana, hususan wale wanaojishughulisha na ubodaboda, umachinga na saluni; wanalelewa na kuratibiwa ipasavyo ili kuepusha uwezekano wa kutumiwa katika vitendo vya uvunjifu wa amani kama ilivyoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.

Akizungumza hivi karibuni katika kikao kazi kilichofanyika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, kilichowahusisha viongozi wa polisi wa mkoa na wilaya, Watendaji wa Kata na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, DC Mpogolo amesema vijana wengi waliojiajiri katika sekta mithili ya hizo wako katika mazingira yanayoweza kuwafanya kutumiwa kirahisi pale changamoto zinapotokea.

“Yanapotokea matatizo kama haya vijana hawa ndipo huwa wanatumika, wanaweza wakatumika sio kwa sababu yeye anataka kufanya uhalifu ule ila anatumika kwa sababu analipwa ile pesa”, amesema Mpogolo.
 
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ametoa wito kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa kata na polisi kata wilayani humo kuhakikisha vijana, hususan wale wanaojishughulisha na ubodaboda, umachinga na saluni; wanalelewa na kuratibiwa ipasavyo ili kuepusha uwezekano wa kutumiwa katika vitendo vya uvunjifu wa amani kama ilivyoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.

Akizungumza hivi karibuni katika kikao kazi kilichofanyika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, kilichowahusisha viongozi wa polisi wa mkoa na wilaya, Watendaji wa Kata na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, DC Mpogolo amesema vijana wengi waliojiajiri katika sekta mithili ya hizo wako katika mazingira yanayoweza kuwafanya kutumiwa kirahisi pale changamoto zinapotokea.

“Yanapotokea matatizo kama haya vijana hawa ndipo huwa wanatumika, wanaweza wakatumika sio kwa sababu yeye anataka kufanya uhalifu ule ila anatumika kwa sababu analipwa ile pesa”, amesema Mpogolo.
Huyu mpuuzi ,kama watu hawamuelewi Samia the butcher watawaelewa vipi hao wenyeviti waliotokana na serikali haramu ya CCM
 
Aina hii ya viongozi Wasenger wasenger wana mchango mdogo katika taifa yeye kwa akili zake anaamini vijana walilipwa kufanya vurugu au sio,haya watuambie mlipaji ni nani hivi hawa matahira na hivyo vyeo vya kupewa kwa hisani sijui wana upeo upi yaani!
 
Mishawaka visungura mkiwawekea singeli zenu
Si inatosha

Ova
 
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ametoa wito kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa kata na polisi kata wilayani humo kuhakikisha vijana, hususan wale wanaojishughulisha na ubodaboda, umachinga na saluni; wanalelewa na kuratibiwa ipasavyo ili kuepusha uwezekano wa kutumiwa katika vitendo vya uvunjifu wa amani kama ilivyoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.

Akizungumza hivi karibuni katika kikao kazi kilichofanyika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, kilichowahusisha viongozi wa polisi wa mkoa na wilaya, Watendaji wa Kata na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, DC Mpogolo amesema vijana wengi waliojiajiri katika sekta mithili ya hizo wako katika mazingira yanayoweza kuwafanya kutumiwa kirahisi pale changamoto zinapotokea.

“Yanapotokea matatizo kama haya vijana hawa ndipo huwa wanatumika, wanaweza wakatumika sio kwa sababu yeye anataka kufanya uhalifu ule ila anatumika kwa sababu analipwa ile pesa”, amesema Mpogolo.
Madhara ya kuongozwa na zero brain tumekuwa taifa la kipumbavu!
 
Na hao watekaji wanalelewa nani?
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ametoa wito kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa kata na polisi kata wilayani humo kuhakikisha vijana, hususan wale wanaojishughulisha na ubodaboda, umachinga na saluni; wanalelewa na kuratibiwa ipasavyo ili kuepusha uwezekano wa kutumiwa katika vitendo vya uvunjifu wa amani kama ilivyoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.

Akizungumza hivi karibuni katika kikao kazi kilichofanyika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, kilichowahusisha viongozi wa polisi wa mkoa na wilaya, Watendaji wa Kata na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, DC Mpogolo amesema vijana wengi waliojiajiri katika sekta mithili ya hizo wako katika mazingira yanayoweza kuwafanya kutumiwa kirahisi pale changamoto zinapotokea.

“Yanapotokea matatizo kama haya vijana hawa ndipo huwa wanatumika, wanaweza wakatumika sio kwa sababu yeye anataka kufanya uhalifu ule ila anatumika kwa sababu analipwa ile pesa”, amesema Mpogolo.
Ani
 
Viongozi wanaropoka kuwa Vijana walilipwa ili kuandamana lakini hawatuonyeshi alielipa, inaonyesha jinsi Intelijensia ya Policcm ilivyo hovyo!
 
Back
Top Bottom