Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,141
- 20,787
Hawa jamaa ndo maana hata wakipata ajali watu wana like tu. Yaani as if hawatokufa hivi.. Eeen Mungu, yaani nchi zooooooote ukaona Watanzania ndo tutawaliwe na hiki chama kweli? Mungu najua unaona mateso yetu ila tafadhali sana tupunguzie nira hii, imekua nzito mnoo shingoni mwetu,, Eenh Mungu wa Abraham, Isaka na Yakobo, tazama utawala huu ulivyo, tusaidie waja wako.