Mkuu wa wilaya ya mbarali mkoani mbeya amenusurika kifo baada ya gari lake kupigwa mawe na kuchomwa matairi kwa kutumia misumari.
Balaa hilo limemkuta baada ya kutoa amri ya kufungwa kwa chuo cha uuguzi cha red cros kilichopo wilayani hapo kwa madai kwamba hakina usajili.
Baada ya kutoa amri hiyo na kuondoka wanafunzi walisimamisha gari na kuanza kumshambulia kwa mawe.
Mpaka sasa polisi inashikilia wanafunzi 32.
Source 1:E.born fm
2.niko mbeya
Kwanini amekwenda chuoni na kutoa mari ya kufunga chuo bila kuzingatia maslahi ya wanafunzi ambao tayari wamelipa pesa zao na kama ni uzembe ni wa serikali kwa kutofuatilia mapema kuhakikisha kwamba chuo kinakamilisha taratibu za usajili kabla hakijaanza kudahili wanafunzi.
Ama ni kwanini hakuona umuhimu wa kuupa uongozi/mmiliki wa chuo muda wa kukamilisha usajili kabla hajafikia uamuzi wa kufunga chuo?