JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Mkuu wq wilaya ya Kiteto, Eng Tumain magesa amezuia kuendeleza shamba la ekari 155 Kijiji cha Kijungu lililokuwa linagombaniwa na CCM na Serikali ya Kijiji
Hii imetokana na madai kuwa CCM wanadai shamba hilo in Mali yao huku Kijiji kikidai pia in Mali yao
"Naagiza hili shamba pande zote msiliendeleze mpaka nipate taarifa za kina Mani mmiliki"alisema Magesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imetokana na madai kuwa CCM wanadai shamba hilo in Mali yao huku Kijiji kikidai pia in Mali yao
"Naagiza hili shamba pande zote msiliendeleze mpaka nipate taarifa za kina Mani mmiliki"alisema Magesa
Sent using Jamii Forums mobile app