JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 450
- 225
Mkuu Wa Wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara, Mhandisi Tumain Magesa ametoa saa 24 kwa uongozi wa Kijiji cha Ndirigishi kuonyesha ramani ya Kijiji ilipo.
Mhandisi Magesa ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi Kijijini hapo ambapo alielezwa kuwa tatizo lililopo linachangia migogoro ya ardhi.
"Kijiji cha Ndirigishi kinaongoza kwa migogoro ya ardhi Kiteto, kama Kiongozi wa Serikali siko tayari kuendelea kuona hali hii"
Ili kukabiliana na migogoro hii kuna kila sababu ya kuifahamu mipaka ya Kijiji..kwa sasa hatuwezi kuitatua bila wananchi kuonyeshwa mipaka alisema.
Wakizungunza mbele ya Mkuu huyo wa Wilaya wananchi hao walisema pamoja na mambo mengine Serikali ya Kijiji imechangia kwa kiwango kikubwa matatizo hayo
Hata hivyo Mkuu huyo wa Wilaya ametishia kuivunja Serikali hiyo ya Kijiji kwa kuonyesha madhaifu katika kuihudumia jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhandisi Magesa ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi Kijijini hapo ambapo alielezwa kuwa tatizo lililopo linachangia migogoro ya ardhi.
"Kijiji cha Ndirigishi kinaongoza kwa migogoro ya ardhi Kiteto, kama Kiongozi wa Serikali siko tayari kuendelea kuona hali hii"
Ili kukabiliana na migogoro hii kuna kila sababu ya kuifahamu mipaka ya Kijiji..kwa sasa hatuwezi kuitatua bila wananchi kuonyeshwa mipaka alisema.
Wakizungunza mbele ya Mkuu huyo wa Wilaya wananchi hao walisema pamoja na mambo mengine Serikali ya Kijiji imechangia kwa kiwango kikubwa matatizo hayo
Hata hivyo Mkuu huyo wa Wilaya ametishia kuivunja Serikali hiyo ya Kijiji kwa kuonyesha madhaifu katika kuihudumia jamii.

Sent using Jamii Forums mobile app