BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,281
- 3,343
Yamemkuta nampa pole
Huyu anatakiwa achukuliwe hatua za kinidhamu haraka iwezekanavyo.yeye ni msemaji Wa serikali?
Ni aibu sana kwa kiongozi kufanya ujinga kama huo,ile dhana ya No one is above the law nikwa watu wa daraja la mlo mmoja per dayAngekuwa ni mtoto wa "KAJAMBANANI" angeonja joto ya JIWE.
Ana bahati...!!
Hiyo haimuhusu mtu kama DC hiyo nikwaajili ya VEO na wale mwananchi tabaka la tatu na kuendeleaKwani sheria ya makosa ya mtandaoni inasemaje kuhusu hili?
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela, amelazimika kuomba radhi kwa umma, baada ya kusambaza taarifa za uongo juu ya kufariki kwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Dkt. Salim Ahmed Salim.
Loading...
Hapo jana usiku Kasesela alichapisha taarifa kwenye mtandao wa Twitter, ukieleza kutokea kwa kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt. Salim zilizodai kuwa mauti hayo yamemfika akiwa nchini Uingereza, ambapo baadae alizikanusha.
Mapema jana Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping alimtunuku Waziri Mkuu huyo mstaafu wa Tanzania Dkt Salim, kuwa miongoni mwa watu waliosaidia nchi hiyo kurejeshwa kwenye Jumuiya ya Umoja wa Mataifa.
Unajua kiherehere ni kitu mbaya sanaKulikuwa na haja gani yakukimbilia kutangaza msiba wa watu? yeye ni msemaji wa familia? yeye ni msemaji wa Serikali? anastahili kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa udaku
Hawatamfanya chochote ni wa kijani huyo.Endapo kama habari hii ina ukweli, KWA mujibu WA Sheria ya Mawasiliano ya Kimtandao ya huko Tz (EPOCA), anastahili kufikishwa kwenye vyombo vya Sheria ili apewe haki yake anayostahili kulingana na makosa yake