Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Acha utoto..umeshakua tayari!Si kila anayefuga ndevu na kuvaa suruali fupi fupi yuko CUF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utoto..umeshakua tayari!Si kila anayefuga ndevu na kuvaa suruali fupi fupi yuko CUF
Acha utoto..umeshakua tayari!
Mchungaji asiye na akili!Nguruwe! Si lazima ujibu kila post zangu....chukua kopo kata kona
Wajameni tuwe waangalifu kwenye jambo hili. Mwislamu kuolewa na mkristo hakummfanyi mwislamu kuwa automatically mkristo kwani hata huko kanisani zipo ndoa za mchanganyiko wa dini au madhehebu. Ili tuweze kuwa na uhakika kama kweli ni mkristo tulete vithibitisho kwamba alibatizwa (mahali, na mbatizaji wake) na jina lake la ubatizo. Kwa kifupi tutafute cheti chake cha ubatizo au watu wanaomjua fika kwamba ni mkristo na jina lake linafahamika. siyo hizi ngonjera za kusema kaolewa na mkatoliki kwa hiyo naye ni mkatoliki.
Mchungaji asiye na akili!
Vp, sadaka ya leo unaenda kuimegea baa ipi?
tulitegemea. kimario 98% ni wa kristo. Amevaa ijabu kama the way to mitigate risk.na imewek!huoni mashekhe walivokurupuka km wamekosa oxygen katika pango.
tulitegemea. kimario 98% ni wa kristo. Amevaa ijabu kama the way to mitigate risk.na imewek!huoni mashekhe walivokurupuka km wamekosa oxygen katika pango.
Umejuaje mimi Muislam?
Nimesema, ukimvua Mwanamke hijab umedhalilisha alama ya Uislam na umemnyanyasa mwanamke, hata kama itakuja kugundulika kwamba aliyevaa vazi hilo si Muislam.
Kama ambavyo, kwa mfano, ukimkuta mtu amebeba Biblia, ukampokonya ukaikanyaga, umedhalilisha nguzo na alama ya Ukristo na Wakristo, hata kama itaja gundulika baadae kwamba aliyekuwa amebeba biblia ile si Mkristo.
Una upeo wewe wa kujibu hiyo hoja rahisi bila kukimbilia kusema mimi ni Muislam?
bakwata igunga walikuwa bado hawajatoa tamko, kwa hiyo hakuwa na cha kujibu!
Mkuu, si kweli usemayo. Hijjab haithibitishwi kwa kutamkwa na Bakwata bali Qur'an Surat Al Ahzaab ndiyo inabainisha ni lipi hijjab lipi la. Uislamu hautetei uovu hata kama huo uovu ungelifanywa na manabii. Watetezi wa huyu mama hawakutakiwa kuegemea katika uislamu bali ulitakiwa uegemee kama mwanamke yeyote ambaye ana haqi zake katika mavazi egardless dini yake. Lakini kwa kuegemea katika uislamu hata mmi nili-differ from the very first day, kwani sikuamini kuwa huyo mama alilovuliwa ni hijjab.Wenye mamlaka ya kusema Fatuma alikuwa amevaa hijab ya Kiislam au vinginevyo, kisheria, kwa Tanzania, ni BAKWATA.
BAKWATA wamesema Fatuma alikuwa amevaa, na akavuliwa, hijabu. Lakini wamekosolewa kwamba mvaa hijabu alikuwa Mkatoliki. Ikawa mada yetu hapa, kwamba mvaa hijab kumbe alikuwa Mkatoliki.
Nikasema, ukimvua Mwanamke hijab, Mkatoliki au M-Sunni, umedhalilisha alama ya Uislam, Uislam wote, na Waislam, hali kadhalika umenyanyasa faragha ya Mwanamke. Hata kama aliyekuwa amevaa hijab ya Kiislam ni Mkatoliki.
BAKWATA wamesimama kutetea tamko la sheria na Katiba ya Tanzania, inayomtaka kila raia kuheshimu dini za Wananchi wenzake, zikiwemo alama na nguzo za imani za dini hizo, japo Tanzania haina dini ya Taifa, au dini ya serikali, ambayo kila Mtanzania lazima aifuate.
Hata mimi naamini wewe ni Mwislam kwa kuwa hoja yako ni matokeo ya kukariri na si kutafakari,ukimnyang'anya biblia,hapa issue itakuwa unyang'anyi na si udhalilishaji,bible ukiichoma moto wewe mimi naitajua u kichaa tu wala si swala la kutufanya wakristo tuandamane au tuhamaki.neenda mkanunue zote mzichome moto,tutaprint zingine tu,vita yetu si ya mwili na nyama vita yetu ni ya KIROHO zaidi.Umejuaje mimi Muislam?
Nimesema, ukimvua Mwanamke hijab umedhalilisha alama ya Uislam na umemnyanyasa mwanamke, hata kama itakuja kugundulika kwamba aliyevaa vazi hilo si Muislam.
Kama ambavyo, kwa mfano, ukimkuta mtu amebeba Biblia, ukampokonya ukaikanyaga, umedhalilisha nguzo na alama ya Ukristo na Wakristo, hata kama itaja gundulika baadae kwamba aliyekuwa amebeba biblia ile si Mkristo.
Una upeo wewe wa kujibu hiyo hoja rahisi bila kukimbilia kusema mimi ni Muislam?
Si kila anayefuga ndevu na kuvaa suruali fupi fupi yuko CUF
BAKWATA wamejidhihirisha ni wavivu wa kufikiri. Wamelalama eti uislam umeaibishwa kwa kuwa Fatuma Kimario kavuliwa kitambaa wakiamini ni Muislam. Jirani wa DC anayeishi naye mbezi kavujisha ukweli kuwa huyu mama ni mkristo kaolewa na bwana Joseph Kimario kwa ndoa ya kikatoliki tena mzee wake ni mzee wa kanisa la katoliki mbezi. Pia DC huyu na mumewe wana nyumba na shamba tegeta na ktk shamba hilo wanafuga nguruwe na mama huyu ni muuzaji maarufu wa hawa nguruwe hapo tegeta na ni mlaji mzuri tu wa hii kitu .
Hili ndo shamba la Nguruwe la DC wa Igunga lipo tegeta;View attachment 37796
habari tulizo zipata kutoka kwa familia ya mzee joseph kimario(mume wa bi kimario) ambaye ni dc wa igunga mkoani tabora zimeeleza kwamba mkuu wa wilaya amebatizwa ktk kanisa katoriki mbezi beach. Na mume wake mr joseph kimario ni mwenyekiti wa uongozi wa parokia mbezi beach. Hivyo tunawaomba bakwata wasitumie vibaya vyombo vya habari kueneza udini tanzania. 4 more information vist parokia ya bikira maria mbezi beach.
Ha ha haaaa.... nimecheka sana leo! hasa hapo kwenye red.
Ukimvua mwanamke hijabu umemdhalilisha na umeudhalilisha Uislam hata ikitokea sio Muislam kwa sababu umeivunjia heshima alama ya Uislam na faragha ya mwanamke. BAKWATA wametetea heshima ya Uislam mbele ya jamii, hata kama Kimario mmoja kumbe sio Muislam.