Kama kweli wamekamata basi wagawe bure kwa wananchi....
Drama zote hizi ni kuua soo ya lugumi. watu wameshasahau issue ya lugumi kila mmoja sasa ni sukari sukari sukariM/kiti Kamati ya Ulinzi na Usalama Mh Ally Salum Hapi kupitia Mkoa wa Kiusalama wa Kinondoni Wamekamata Shehena ya Sukari Mifuko zaidi ya elfu Moja na Tisini na Tano.
Sukari hii ikiwemo sukari tuka Nchini India na ile ya Ndani ya Nchi.
![]()
![]()