DC Bukoba apiga marufuku uvunaji wa senene usiku kwenye makazi ya watu

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Jan 27, 2018
754
3,097
Teknolojia inayotumika kuwakamata senene mjini Bukoba imepigwa marufuku kwa madai kuwa inasababisha uchafuzi wa mazingira na inahatarisha usalama kutokana na mfumo wa umeme kufungwa kinyemera kwenye mitego hiyo ya kuzinasa senene

Mkuu wa wilaya ya Bukoba Deodatus Kinawilo amekataza kufanyika shughuli za uvunaji wa senene katikati ya mji wa Bukoba kwa kutumia teknolojia inayotumika ya kuegesha mabati kwenye ndoo au mapipa na kuwasha taa zenye mwanga mkali na kisha kukoka moto kwa lengo la kupata moshi wa kulewesha senene watakaokuwa wakiruka kufuata mwanga wa taa,na kueleza kuwa moshi huo umekuwa kero na unasababisha athari kiafya kwa watu.

Senene.jpg
 
Teknolojia inayotumika kuwakamata senene mjini Bukoba imepigwa marufuku kwa madai kuwa inasababisha uchafuzi wa mazingira na inahatarisha usalama kutokana na mfumo wa umeme kufungwa kinyemera kwenye mitego hiyo ya kuzinasa senene

Mkuu wa wilaya ya Bukoba Deodatus Kinawilo amekataza kufanyika shughuli za uvunaji wa senene katikati ya mji wa Bukoba kwa kutumia teknolojia inayotumika ya kuegesha mabati kwenye ndoo au mapipa na kuwasha taa zenye mwanga mkali na kisha kukoka moto kwa lengo la kupata moshi wa kulewesha senene watakaokuwa wakiruka kufuata mwanga wa taa,na kueleza kuwa moshi huo umekuwa kero na unasababisha athari kiafya kwa watu.

Pumbavu zao wahaya. Hivi wanawezaje kula wadudu badala ya nyama ya ng'ombe? na maziwa. Nasikia ni watani zangu
 
Aache kiherehere na kwa taarifa yake hatuachi kama anataka ligi aseme
 
Mm mndengereko lakin napiga sana hayo makitu .
Mwenye connection nahitaji kilo kadhaa
 
Hivi viongozi wa awamu hii mbona wote kama vichaa? Yani uzuie wakazi wa bk wasikamate senene kwa utaratibu ambao wameutumia kwa miaka mingi?!
 
Hapo bichwa limemvimba anajua kafanya Jambo la Maana Kumbe Kaziba riziki za Watu..
 
Teknolojia inayotumika kuwakamata senene mjini Bukoba imepigwa marufuku kwa madai kuwa inasababisha uchafuzi wa mazingira na inahatarisha usalama kutokana na mfumo wa umeme kufungwa kinyemera kwenye mitego hiyo ya kuzinasa senene

Mkuu wa wilaya ya Bukoba Deodatus Kinawilo amekataza kufanyika shughuli za uvunaji wa senene katikati ya mji wa Bukoba kwa kutumia teknolojia inayotumika ya kuegesha mabati kwenye ndoo au mapipa na kuwasha taa zenye mwanga mkali na kisha kukoka moto kwa lengo la kupata moshi wa kulewesha senene watakaokuwa wakiruka kufuata mwanga wa taa,na kueleza kuwa moshi huo umekuwa kero na unasababisha athari kiafya kwa watu.

Inawezekana wahuni walitaka kumvuna binti wa DC.
 
Back
Top Bottom