Ndugu zangu wana jf mie nimehitimu kidato cha sita mwaka Jana nimesoma PCB nikapata phy d Chem b na bios b+
Nimeanza kuapply nilipofika validation wakanibia not passed kwa upande Wa A level? Msaada jamani
Hizo si zile maksi za ufaulu alioukataa Prof. Ndalichako?
Tafuta kitu saizi yako. Wacha kung'ang'ania course. Utaumia !!
Ati b+ ndo nini? Continuous assesment au ufaulu wa necta?
Hizo si zile maksi za ufaulu alioukataa Prof. Ndalichako?
Tafuta kitu saizi yako. Wacha kung'ang'ania course. Utaumia !!
Ati b+ ndo nini? Continuous assesment au ufaulu wa necta?
Hivi 2Cs ni point nne au sita? Naona thread yako umeileta kama Joke hapa JF haiwezekani upate 2Bs then ukose chuo. 2Bs ni mara mbili ya minimum requirement zinazotakiwa na TCU.
Hivi 2Cs ni point nne au sita? Naona thread yako umeileta kama Joke hapa JF haiwezekani upate 2Bs then ukose chuo. 2Bs ni mara mbili ya minimum requirement zinazotakiwa na TCU.