Naomba kufahamu Daylight Saving Time na Standard Time

Mdugo

Member
Nov 17, 2017
55
37
Samahani wanajamvi, sijui Kama ni jukwaa husika ila naomba walau kujua Maana halisi ya Daylight Saving Time na Jinsi inavyoathiri biashara na shughuli za kiuchumi kwa nchi zinazohusika ikiwemo marekani.

Naomba kujua inawasaidiaje na kazi wanafanyaje, ni kwamba wanawahi kazini SAA moja kabla au wanachelewa kazini SAA moja kabla? Kuna changamoto naipata navojaribu Ku map masaa yao na yetu kuanzia tarehe 10, March.

Kwa mfano, hapo kabla ya tar 10 March, ikiwa 1730 Tanzania kwao ilikuwa 0930... Vipi kuhusu sasa?

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani wanajamvi, sijui Kama ni jukwaa husika ila naomba walau kujua Maana halisi ya Daylight Saving Time na Jinsi inavyoathiri biashara na shughuli za kiuchumi kwa nchi zinazohusika ikiwemo marekani.

Naomba kujua inawasaidiaje na kazi wanafanyaje, ni kwamba wanawahi kazini SAA moja kabla au wanachelewa kazini SAA moja kabla? Kuna changamoto naipata navojaribu Ku map masaa yao na yetu kuanzia tarehe 10, March.

Kwa mfano, hapo kabla ya tar 10 March, ikiwa 1730 Tanzania kwao ilikuwa 0930... Vipi kuhusu sasa?

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app

The easiest way is to use Google!! Go to timeanddate.com you can view all the different time zones.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom