mgonjwa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 514
- 223
- Thread starter
- #61
Hali bado ikiwa tete hakieleweki juu ta hatma ya nafsi za koplo na konstebo leo ni siku ya 7 ya uchunguzi wa tume iliyopewa siku kumi ! Jtatu in sha allah tume itakuja na majibu sahihi tuendelee kuvuta subira na kama kuna mwenye taarifa yoyote wana jf tujuzane
nawasilisha !!
nawasilisha !!