Day 1 !!! Uhamiaji

Day 1 !!! Uhamiaji

Hali bado ikiwa tete hakieleweki juu ta hatma ya nafsi za koplo na konstebo leo ni siku ya 7 ya uchunguzi wa tume iliyopewa siku kumi ! Jtatu in sha allah tume itakuja na majibu sahihi tuendelee kuvuta subira na kama kuna mwenye taarifa yoyote wana jf tujuzane
nawasilisha !!
 

Attachments

  • 1407397244557.jpg
    1407397244557.jpg
    56.8 KB · Views: 303
Tangu mbeleko imekatika basi daily unahangaika humu! Sugua tena soli kitaa kijana!
 
Yap itajulikana tu siku ikifika..Naomba wadau wote wawe tayari kwa lolote lile ambalo linaweza kutokea....
 
Yap itajulikana tu siku ikifika..Naomba wadau wote wawe tayari kwa lolote lile ambalo linaweza kutokea....Kumbuka KUTELEZA SIO KUANGUKA....
 
Erick yusto !! Depo kama kawa kwa wenye sifa wale 30 sio wote watapigwa chini but nimetonywa na chanzo changu cha karibu kua kwa nafasi za konstebo kuna majina yamebainika kua ni standars seven hata form four hawajafika du tusubiri hii movie inakaribia kuisha season one wiki ijayo
 
Mhhh..mkuu Mgonjwa kwa hapo bado nachelewa kuamini mana inawezekana vipi watu walipata ajira ili hali watu walikuwa hawana vyeti vya form 4..na je hao waliokuwa wanafanya usaili na kuwapitisha hao watu hawakuliona hilo kuwa mbele italeta shida..mhhh hapana labda ungesema kuwa hawakuwa na vyeti vya STD 7 hapo sawa..lakini kusema kuwa walikuwa hawana vyeti kabisa hata kama no reseach no right to speak hapo nitasema no hata kama sijafanya research....na kama kweli ipo hivyo je cku hao walivyoitwa kwenda kureport ingekuaje kwa wasio na vyeti..dahh kama kweli hii nchi ipo ivo basi tumefika pabaya sana..naomba nipewe fursa ya kuchagua adhabu kwa wahusika.
 
Hali bado ikiwa tete hakieleweki juu ta hatma ya nafsi za koplo na konstebo leo ni siku ya 7 ya uchunguzi wa tume iliyopewa siku kumi ! Jtatu in sha allah tume itakuja na majibu sahihi tuendelee kuvuta subira na kama kuna mwenye taarifa yoyote wana jf tujuzane
nawasilisha !!

Viajana wa wakulima tuache ndoto za uhamiaji tufanye mambo mengine
 
Erick yusto ndugu ishu ni kwamba vyeti vyao ni kanjanja ni si kwamba hawakuweka vyeti
 
Erick yusto !! Depo kama kawa kwa wenye sifa wale 30 sio wote watapigwa chini but nimetonywa na chanzo changu cha karibu kua kwa nafasi za konstebo kuna majina yamebainika kua ni standars seven hata form four hawajafika du tusubiri hii movie inakaribia kuisha season one wiki ijayo

Kwani hizo nafasi hizo zilihitaji mtu awe na qualifications gani?

Au kuna watu walitengeneza nyeti nini?

Whatever the findings za hiyo tume kuna uwezekano tusisikie chochote kile.
 
Taarifa zilizonifika punde ni kwamba wale wakaguzi wameambiwa kua huu wanaenda kuripoti kila siku asubuh wakati wanasubiri taratibu zingine !! Hii ina implies nini ?? Kimtazamo ni kua wanasubiri tume itoe majibu ili vijana waondoke pamoja depo baada ya vipimo vya afya zao !!
 
Siku ya nane leo!! Two days to go !! Keep on waiting ..!! Jtatu in sha allah tunaweza kusikia chochote kutoka kwa msemaji wa idara husika !! Kuna mwenye lolote wana jf tu share pamoja
 
Kwani baba yako alokua kakuingiza hapo kimagumashi hajakupa info yoyote?
 
Cha msingi kwa muda huu uliyobakia, ni kuwa tayari kwa lolote lile! Either + Or -
 
Siku hazigandi aliimbaga komandoo jay dee nimekubali kabisa na huu usemi !! Siku ilizopewa tume ya uchunguzi juu ya kashfa za nafasi za koplo na konstebo imebaki siku moja ambayo ni kesho jpili , jtatu tunategemea kusikia chochote kutoka kwenye hiyo tume !! Mungu saidie watoto wa wakulima !! Mwenye mpya yoyote wana jf lets share PAZA SAUTI UKIMYA HAUSAIDII
 
Siku ya kumi leo ile tume ya uchunguzi ndo imemaliza kazi yake juu ya tuhuma za nafasi za upendeleo juu za konstebo na koplo wa uhamiaji !! Kuanzia kesho majibu yatakua hadharani but kumbuka hizi ni tuhuma mtu akikubali lazima awajibike !! Jpili njema wana jf
 

Attachments

  • 1407662713600.jpg
    1407662713600.jpg
    29.5 KB · Views: 303
Mr.Mgonjwa naona umeamua kulifuatilia kwa umakini mkubwa hili suala..kiongozi mzuri ni yule mwenye msimamo wa kweli na madhubuti no matter ni watu wangapi watamuunga mkono ila yupo tayari kusimama peke yake na kutetea kile anachokiamini...Naamini haya yote yatakwisha ila nikiwa shule mwalimu wangu Father Moses aliniambia katika philosophy kuwa ni vema kuwa na reasoning as the basis of philosophy..Tatizo sio kuisha ila litaishaje??..ama movie itaisha starring atakufa au atashinda...Nadhani mwenye maamuzi ya mwisho juu ya hili ni Mungu pekee....Tumwachie yeye aliye juu ndio muweza wa yote.
 
Back
Top Bottom