mgonjwa maswali yanaelekezwa upande wako zaidi, kwa sababu unauwezo wa kubadilishana mawazo na wanaohusika, sasa basi endelea kuwaambia ya kuwa bado tuna imani na hatua za katibu mkuu wa wizara, ila ushauri kwa dhamira yake ya dhati ya kuhakikisha kila mmoja anapata nafasi kwa sifa na vigezo tu wala si vinginevyo, anatakiwa kushiriki kikamilifu ktk usimamizi wa zoezi hili hadi mwisho, akisubiri taarifa yatarudi yale yale na hatima yake itapatikana hata kam si leo lakini pia narudia KEKI YA TAIFA NI YETU SOTE YAPASWA TUGAWANE SAWA SAWA, watakaohusika watajibu hili kama mungu tutamkuta, labda tusimkute baada ya hapa.