[quote uid=190066 name="mangi jr" post=16258800]Habari wadau. mie tatizo langu ni camera, kila nikipiga picha inakataa, inaniandikia Unfortunately camera has stopped. nimejaribu kuifanyia hard reset lakini bado tatizo lipo pale pale. Msaada tafadhali, natumia Sony Xperia E3 dual.<br /><br />natanguliza shukrani Mwl.RCT Chief-Mkwawa