Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
Jamani hawa DAWASA vipi , sisi wakazi wa Kigamboni wakati tunangoja wawekazaji tupatane nao wao kwa haraka haraka wanawahi kununua nusu ya Kigamboni kwa bei karibu na bure. DAWASA wanahitaji eneo hilo kwa ajili kuchimba visima vya (mafuta?) Kitwana Kondo uko wapi, wanatumaliza.